Wewe jamaa mshenzi sana 😝😝😝 umejua kunichekeshaDawa ya kutapika ni kukalia gazeti lililotumika na kipande kingine unanusa hamna kifaulisha, sema lingine.
....yap !!Hivi condom nayo ni plastic?
Watakuwa wanatapikia kwenye gari. Kwani wakiwa na mifuko huwa wanatapikia nje ya gari?Nyie mnaoshabikia kupigwa marufuku kwa mifuko ya plastiki,tutaona ndugu zenu watakuwa wanatapikia wapi wakiwa wanasafiri kuja mjini kuwatembelea..
Asante kwa kutambua hilo,wameshindwa kusema ni mbinu gani mbadala tukiacha kutumia plastic???Ni kweli Mkuu, nchi imejaa ushabiki wa "kikuda" kisa tu limetamkwa na kiongozi..... Binafsi naona ni heri wangeweka sheria Kali ya utupaji ovyo mifuko hiyo na sio kuzuia kabisa.
Iweje Manispaa ya Moshi waweza udhibiti wa taka na mikoa ypte ilobaki washindwe? Nendeni kajifunzeni huko ambako huwezi kuta si tu mifuko ya plastiki ikizagaa mitaani Bali hata taka zingine.
TUKUBALI KUJIFUNZA NA SIO KUZUIA PALE TUSHINDWAPO KUZUIA........
watapike kwenye gari konda atadekiNyie mnaoshabikia kupigwa marufuku kwa mifuko ya plastiki,tutaona ndugu zenu watakuwa wanatapikia wapi wakiwa wanasafiri kuja mjini kuwatembelea..
Kwa sheria gani namba ngap kwenye katiba ya nchi.mifuko ya plastic ni marufuku hakuna mjadala unajeuri tarehe 1 /6 bebea mfuko wa plastic kama wewe kidume