Mkuu ndenga, kama kuna maigizo ni viongozi wa nchi hii, sheria na taratibu za ku control waganga wa jadi hazija tungwa jana ni kwamba zipo. Kichekesho leo nawaona kwenye tv wako busy waki ng'oa mabango hayo, chakusikitisha wanatoa mabango badala ya kuwakamata wenye mabango ili hali jamaa wanajulikana vizuri tu, mpaka namba za simu wameiwekea hiyo mijamaa inayo paswa kusimamia sheria. Kweli bongo tuna kazi, wasimamia sheria wapo busy idodomia wanatutungia katiba mpya sijua ni mpya au ndio marekebisho ya katiba ya mwaka 2014 helo helo ni cheke mieeee, poa bana jitungieni katiba ya kutuongoza siye wavuja jasho, bongo lala sie tupo tuta wapa ndioooo ipitee kubwa kwenye box la kula za maoni, sina sisi mtatupa posho siku hiyo maana kushinda kwenye foleni hadi jiooni si mchezo walau posho ya siku moja tu, napita mie.