ndenga
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 1,887
- 1,554
Jana wakati nafuatilia Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii waziri alikemea na kupiga marufuku mabango yote ya waganga wa kienyeji. Hiki kitendo kinakera sana. Maamuzi haya yamekuja kwa wakati muafaka baada ya kuzagaa kwa mabango mengi sana hasa katika jiji la Dar es Salaam. Hii imekuwa ni kero sana na aibu kwa Watanzania. Tena wengine wakitaja kutibu magonjwa mpaka ya kunenepesha sijui nini, kupata wachumba, kumrudisha aliyekuacha etc.
Note: Watendaji wote wa serikali za mitaa tunaomba utekelezaji wa hili agizo la waziri..tuanzie na Makumbusho na Kijitonyama
Note: Watendaji wote wa serikali za mitaa tunaomba utekelezaji wa hili agizo la waziri..tuanzie na Makumbusho na Kijitonyama