Marufuku Kumuoa hata kama ana mimba

Marufuku Kumuoa hata kama ana mimba

Mpe mapenzi yaukweli huyo binti hadi mwenyewe ahame kwao. HUO NDIO MUDA AMBAO INATAKIWA UMDATISHE BINTI.
 
Wana Jf, poleni kwa majukumu! Najitokeza kwa mara ya kwanza kuomba ushauri!
Nina mpenzi kwa miaka 4 hivi na tuna pendana sana. Kwa muda wote huu tulikuwa boy friend na girl friend. Mwez uliopita (september) bint alipata Ujauzito. Kimsing tulifurah sana. Niliamua kutuma wazaz wangu wapeleke posa. Jambo la kushangaza POSA ILIKATALIWA KWA KUWA MIMI NA HUYU BINT TUNASALI MADHEHEBU TOFAUTI. Yeye ni MSABATO NA MIMI NI MLUTHERI. Wazazi wake hawataki kusikia lolote kuhusu ndoa japo wanajua binti yao ni MJAMZITO. Bint ananipenda na mimi nampenda pia. NAOMBENI USHAURI WADAU.
fungeni ndoa ya serikali
 
kama wote mwamini Mungu kupitia yesu kristo na wao wanakataa hiyo posa basi nyie endeleeni namaisha ipo siku watawaelewa
 
Yesu aliwaambia msioe wasio amini akiwa na maana msioe wala kuolewa na wasio wa imani sawa na nyie maana watawafanya mpotee kiimani.Pia alisema sikuja kulitangua torati wala unabii bali kulitimiliza.......dunia itapita ila hata neno moja halitatolewa kwenye biblia....akatoa na ole kwa yule sbadilishae au aondoae neno kwenye biblia ......
Ukitaka kufahamu zaidi soma kitabu kimeandikwa Counsels for the Church chapter 19 huongelea kuto oa unbelievers

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
kama wote mwamini Mungu kupitia yesu kristo na wao wanakataa hiyo posa basi nyie endeleeni namaisha ipo siku watawaelewa

Tatizo ni kila moja hapo wanaamini tofauti kuanzia amri ya nne ambayo ni kuhusu siku ya kuabudu.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Asante ndugu, ila dini siwezi kubadili coz ninasali kwa mungu sio kwa dhehebu. Asante kwa ushauri.
Mkuu upo Sahihi kabisa, imani ni hiari. Swali je wewe na mchumba wako mnachukuliaje utofauti wa madhehebu yenu?
 
Swala sio kusali tu kumbuka Mnaanza kwa Dhambi ya uzinzi, pia imesndikwa "Remember the Sabbath to keep it Holy"
Ushauri kubali kutubu Dhambi kisha mtafute Mungu nahisi hy ndoa itakuwpo iwapo utakuwa msabato
 
What do you read as reference kama si biblia na hiyo biblia ndio hutumiwa na wasabato na hiyo bible ndio huendelea kutumiwa milele na milele

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Unaleta ubishi katika mambo serious. Mimi siwez kubishana. Hata hivyo naheshimu mawazo yako nathamini ushauri wako. Thanx
 
Swala sio kusali tu kumbuka Mnaanza kwa Dhambi ya uzinzi, pia imesndikwa "Remember the Sabbath to keep it Holy"
Ushauri kubali kutubu Dhambi kisha mtafute Mungu nahisi hy ndoa itakuwpo iwapo utakuwa msabato

siwez kubadili dini kumridhisha mwanadamu. Mimi naamini katika imani yangu na naheshimu imani za watu wengine. Sipendi watu wabinafsi wa imani na wabaguzi wa imani. WOTE NI WADHAMBI NDO MAANA VNAPASWA KUTUBU KILA SIKU.
 
Swala sio kusali tu kumbuka Mnaanza kwa Dhambi ya uzinzi, pia imesndikwa "Remember the Sabbath to keep it Holy"
Ushauri kubali kutubu Dhambi kisha mtafute Mungu nahisi hy ndoa itakuwpo iwapo utakuwa msabato

Udini ni ki2 kibaya sana. After all suala la uzinzi mimi sio wakwanza kuzini! Daudi pia alizini. Na hata wewe umesha zini. CHAMSING NI TOBA YA KWELI MBELE YA MUNGU, NA SIO MBELE YA KANISA.
 
Tatizo ni kila moja hapo wanaamini tofauti kuanzia amri ya nne ambayo ni kuhusu siku ya kuabudu.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
I don't think so.
Kufanya mapenzi na kupeana mimba kabla ya ndoa haviko kwenye imani yoyote ya kikristo iwe ya kilutheri wala kisabato.

Hapa kuna Background za Imani za kidhehebu za wazazi wao tu, lakini wachumba wenyewe wako kivingine kabisa.

Hivyo toa ushauri wa namna wanaweza kufanikisha ndoa yao tena kwa ubora.
 
I don't think so.
Kufanya mapenzi na kupeana mimba kabla ya ndoa haviko kwenye imani yoyote ya kikristo iwe ya kilutheri wala kisabato.

Hapa kuna Background za Imani za kidhehebu za wazazi wao tu, lakini wachumba wenyewe wako kivingine kabisa.

Hivyo toa ushauri wa namna wanaweza kufanikisha ndoa yao tena kwa ubora.

I appreciate ur perspective. U are a good matured thinker.
 
Swala sio kusali tu kumbuka Mnaanza kwa Dhambi ya uzinzi, pia imesndikwa "Remember the Sabbath to keep it Holy"
Ushauri kubali kutubu Dhambi kisha mtafute Mungu nahisi hy ndoa itakuwpo iwapo utakuwa msabato
Mkuu why are you complicating this thing?

Jamaa ameshasema yeye na mchumba wake wameshapendana na wako tayari kuoana pasipo kujali tofauti za imani zao, sasa tatizo ni wazazi wa binti wamekataa kwa sababu hawataki binti yao aolewe na mtu ambaye sio msabato. Sasa anaomba ushauri wa kuvuka hicho kikwazo?
 
I don't think so.
Kufanya mapenzi na kupeana mimba kabla ya ndoa haviko kwenye imani yoyote ya kikristo iwe ya kilutheri wala kisabato.

Hapa kuna Background za Imani za kidhehebu za wazazi wao tu, lakini wachumba wenyewe wako kivingine kabisa.

Hivyo toa ushauri wa namna wanaweza kufanikisha ndoa yao tena kwa ubora.

Sikia kijana mimi sijaongelea mimba naongelea kuhusu imani zao ni tofauti na ndio maana wazazi wameweka pingamizi huyu ana abudu jumapili yeye anaamini jumamosi huoni tofauti pia imeandikwa don't marry the unbelievers

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Yesu aliwaambia msioe wasio amini akiwa na maana msioe wala kuolewa na wasio wa imani sawa na nyie maana watawafanya mpotee kiimani.Pia alisema sikuja kulitangua torati wala unabii bali kulitimiliza.......dunia itapita ila hata neno moja halitatolewa kwenye biblia....akatoa na ole kwa yule sbadilishae au aondoae neno kwenye biblia ......
Ukitaka kufahamu zaidi soma kitabu kimeandikwa Counsels for the Church chapter 19 huongelea kuto oa unbelievers

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mkuu inaonekana unajua sana mambo ya kiimani.
Embu tusaidie fumbo hili, kati ya hawa wawili nani ni mwamini na nani si mwamini?
Au yupi ni msabato kwa sasa?
 
Mkuu inaonekana unajua sana mambo ya kiimani.
Embu tusaidie fumbo hili, kati ya hawa wawili nani ni mwamini na nani si mwamini?
Au yupi ni msabato kwa sasa?
Sio kwamba najua ila tunajaribu sema ukweli uliopo.
Waadventista Wasabato wanaamini katika biblia,huamini katika mafundisho ya Yesu na Amri kumi za Mungu hata tunapobatizwa huwa kuna maswali twauliza vipengele 13,haturuhusiwi kuuza bia,vilevi aina yoyote ile,kujihusisha kwenye biashara haramu,uuzaji na utumiaji wa tumbalu etc....
Tunaamini kusali siku ya saba ya juma na siku hiyo haturuhusiwi kufanya kazi refer exodus 20:8 na kuendelea hadi 11
Sijui Lutheran wanaamini nini.
Msabato hapo ni huyo binti ila sijui kama kabatizwa

Sent from my Blac
kBerry 9860 using JamiiForums
 
Udini ni ki2 kibaya sana. After all suala la uzinzi mimi sio wakwanza kuzini! Daudi pia alizini. Na hata wewe umesha zini. CHAMSING NI TOBA YA KWELI MBELE YA MUNGU, NA SIO MBELE YA KANISA.

Mkuu yaani unahalalisha uzinzi kwa vile Daudi alizini. Yes ni kweli kwamba hakuna ambaye amezaliwa na mwanamke ambaye hatendi dhambi isipokuwa Yesu tu ila usitumie uovu wa watangulizi wetu kuhalalisha uovu maana hayo madhaifu waliyotenda yaliandikwa kwetu ili kutuonya na sio kuhalalishia maovu yetu.
Haijalishi uthamani wa kiti ambacho shetani amekupatia hapa duniani, mwisho wake ni maafa.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom