Marufuku Kumuoa hata kama ana mimba

Marufuku Kumuoa hata kama ana mimba

hao ndo wasabato bw ubaguzi nje nje

Hakuna ubaguzi hapo, ngoja nikupe stori fupi tu kuhusu umhimu wa kuoana mkiwa na imani iliyo sawa.
Siku moja jumamosi nikiwa kanisani mwanamke akaja akiwa amevimba kwa hasira, kisa Mme wake kaenda na watoto kanisani. Na hapo mwanzo mwanamme na mwanamke walikuwa wakatoliki wote baadaye ndipo mwanamme akawa msabato. Swali dogo tu.
Inawezekana kabisa huko mbeleni wakishachujana kila mmoja akaanza kudai watoto waliowapata wakaabudu kanisani kwake itakuwaje hapo? maana sasa hivi bado wamefungwa kwa upofu wa mapenzi, shetani akiingilia ndoa. Jaribu kufikiri kidogo kuhusu mfano huu. Na ndio maana mtume paulo aliandika juu ya umhimu wa kuoana mkiwa wa imani moja.
Haijalishi uthamani wa kiti ambacho shetani amekupatia hapa duniani, mwisho wake ni maafa.
 
Sio kwamba najua ila tunajaribu sema ukweli uliopo.
Waadventista Wasabato wanaamini katika biblia,huamini katika mafundisho ya Yesu na Amri kumi za Mungu hata tunapobatizwa huwa kuna maswali twauliza vipengele 13,haturuhusiwi kuuza bia,vilevi aina yoyote ile,kujihusisha kwenye biashara haramu,uuzaji na utumiaji wa tumbalu etc....
Tunaamini kusali siku ya saba ya juma na siku hiyo haturuhusiwi kufanya kazi refer exodus 20:8 na kuendelea hadi 11
Sijui Lutheran wanaamini nini.
Msabato hapo ni huyo binti ila sijui kama kabatizwa

Sent from my Blac
kBerry 9860 using JamiiForums
*Asante sana kwa ufafanuzi wako mzuri but nitakuelewesha kidogo tu ya ninachokifahamu.

*Kwa imani ya kisabato mtu akifanya dhambi iliyodhahili sana kwa jamii anatakiwa kutengwa kabisa, anakuwa sio tena mwamini(anakuwa Zaidi ya mpagani!!)

*Kwa mfano huyu dada kwa sasa ana mimba, kisabato amejitenga kabisa na imani na hawezi kufunga ndoa kisabato akiwa mjamzito, na hata akishajifungua kama atataka afunge ndoa(Kubariki ndoa) atatakiwa kupita kwenye mchakato mrefu kwanza wa kurudishwa kundini(Toba/malipizi na ikiwezekana kubatizwa tena) ndio aruhusiwe kupokelewa na kanisa then abariki ndoa.
Ni mchakato mgumu na mrefu kuliko wa mpagani kuwa msabato!!



*Suala kuu hapa sio Imani za wachumba, bali ni msimamo wa wazazi wa msichana wanamkataa kijana kwa sababu tu ya imani yake!!
 
Wana Jf, poleni kwa majukumu! Najitokeza kwa mara ya kwanza kuomba ushauri!
Nina mpenzi kwa miaka 4 hivi na tuna pendana sana. Kwa muda wote huu tulikuwa boy friend na girl friend. Mwez uliopita (september) bint alipata Ujauzito. Kimsing tulifurah sana. Niliamua kutuma wazaz wangu wapeleke posa. Jambo la kushangaza POSA ILIKATALIWA KWA KUWA MIMI NA HUYU BINT TUNASALI MADHEHEBU TOFAUTI. Yeye ni MSABATO NA MIMI NI MLUTHERI. Wazazi wake hawataki kusikia lolote kuhusu ndoa japo wanajua binti yao ni MJAMZITO. Bint ananipenda na mimi nampenda pia. NAOMBENI USHAURI WADAU.

Kama mnapendana kwa dhati kubalianeni anzeni maisha yenu. Yaani wote ni wakristu halafu eti wazazi wanakataa? Ingekuwa mkristu kwa muislam ndiyo kidogo inaleta tabu. Wazazi tuwe na busara sana wakati mwingine vinginevyo tunaleta usumbufu usio wa lazima kwa watoto wetu. Kitu muhimu sana katika ndoa ni upendo!!!
 
Pia tuelewe hapa anaweza batizwa upya ndio afunge ndoa kisabato.
Muhimu ni sisi vijana kuwa makini tunapodate au kutafuta wachumba maana hata ukisoma" Letters to Young Lovers " kwenye suala la courtship,love utaelewa kila kitu.
Haya yote yanaweza yasitokee kama tukiwa makini kwenye courtshp hatutafikia huko

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Wana Jf, poleni kwa majukumu! Najitokeza kwa mara ya kwanza kuomba ushauri!
Nina mpenzi kwa miaka 4 hivi na tuna pendana sana. Kwa muda wote huu tulikuwa boy friend na girl friend. Mwez uliopita (september) bint alipata Ujauzito. Kimsing tulifurah sana. Niliamua kutuma wazaz wangu wapeleke posa. Jambo la kushangaza POSA ILIKATALIWA KWA KUWA MIMI NA HUYU BINT TUNASALI MADHEHEBU TOFAUTI. Yeye ni MSABATO NA MIMI NI MLUTHERI. Wazazi wake hawataki kusikia lolote kuhusu ndoa japo wanajua binti yao ni MJAMZITO. Bint ananipenda na mimi nampenda pia. NAOMBENI USHAURI WADAU.

tulia watakutafuta wao kaka. na wakichelewa binti yao atakutafuta. actually akijifungua watalea mtoto, akikuoa kidogo andika mimba nyingine, hapo ndo watajua hakuna tofauti kati ya Lutheran na sabato
 
*Mleta mada ninapenda kukutia moyo na kukuhakikishia asilimia mia moja kuwa huyo msichana lazima utamwoa tena kanisani!!

*Kikubwa nyie wawili mmependana na kukubaliana kuwa mme na mke hakuna mtu anayeweza kuzuia, na yoyote atakayewazuia atakuwa anapambana na Mwenyezi Mungu.

*Jambo pekee kwa sasa ni nyie wawili kuwa na msimamo mmoja, kutumia busara na kujiandaa kwa changamoto zaidi.
Songa mbeleee!!!!
 
Mkuu yaani unahalalisha uzinzi kwa vile Daudi alizini. Yes ni kweli kwamba hakuna ambaye amezaliwa na mwanamke ambaye hatendi dhambi isipokuwa Yesu tu ila usitumie uovu wa watangulizi wetu kuhalalisha uovu maana hayo madhaifu waliyotenda yaliandikwa kwetu ili kutuonya na sio kuhalalishia maovu yetu.
Haijalishi uthamani wa kiti ambacho shetani amekupatia hapa duniani, mwisho wake ni maafa.

sija halalisha mkuu, tatizo unatoka nje ya mada. The fact in Issue is whether the difference in religious amounts to denial of mariage right despite the agreement btn the patners. We need the advice not the league.
 
Wana Jf, poleni kwa majukumu! Najitokeza kwa mara ya kwanza kuomba ushauri!
Nina mpenzi kwa miaka 4 hivi na tuna pendana sana. Kwa muda wote huu tulikuwa boy friend na girl friend. Mwez uliopita (september) bint alipata Ujauzito. Kimsing tulifurah sana. Niliamua kutuma wazaz wangu wapeleke posa. Jambo la kushangaza POSA ILIKATALIWA KWA KUWA MIMI NA HUYU BINT TUNASALI MADHEHEBU TOFAUTI. Yeye ni MSABATO NA MIMI NI MLUTHERI. Wazazi wake hawataki kusikia lolote kuhusu ndoa japo wanajua binti yao ni MJAMZITO. Bint ananipenda na mimi nampenda pia. NAOMBENI USHAURI WADAU.

Una uwezo wa kumtunza huyo binti? Kama vipi ngojea azae then uone reaction ya wazazi wenu. . .hawatakubali kirahisi rahisi binti yao aishi hivyo. . .time will tell.
 
Una uwezo wa kumtunza huyo binti? Kama vipi ngojea azae then uone reaction ya wazazi wenu. . .hawatakubali kirahisi rahisi binti yao aishi hivyo. . .time will tell.
Umeona eeeh!!
Halafu akijifungua tu onyesha kama unaendelea kula mzigo tena daily!!!
 
Una uwezo wa kumtunza huyo binti? Kama vipi ngojea azae then uone reaction ya wazazi wenu. . .hawatakubali kirahisi rahisi binti yao aishi hivyo. . .time will tell.

Yeah, nina uwezo wa kumtunza. Iam a man of Means atleast.
 
Hakuna ubaguzi hapo, ngoja nikupe stori fupi tu kuhusu umhimu wa kuoana mkiwa na imani iliyo sawa.
Siku moja jumamosi nikiwa kanisani mwanamke akaja akiwa amevimba kwa hasira, kisa Mme wake kaenda na watoto kanisani. Na hapo mwanzo mwanamme na mwanamke walikuwa wakatoliki wote baadaye ndipo mwanamme akawa msabato. Swali dogo tu.
Inawezekana kabisa huko mbeleni wakishachujana kila mmoja akaanza kudai watoto waliowapata wakaabudu kanisani kwake itakuwaje hapo? maana sasa hivi bado wamefungwa kwa upofu wa mapenzi, shetani akiingilia ndoa. Jaribu kufikiri kidogo kuhusu mfano huu. Na ndio maana mtume paulo aliandika juu ya umhimu wa kuoana mkiwa wa imani moja.
Haijalishi uthamani wa kiti ambacho shetani amekupatia hapa duniani, mwisho wake ni maafa.

iam not a man of confrontation. After all siamini katika mizozo. Iam a peace soldier.
 
Watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa.
Mara nyingi tunapenda na hii inatutufanya tusiweze kureason ila hebu fikiria future yako itakuwaje.
Pia kukataa maandiko yalichosema inamaana wamkataa Muumba

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kuwa mvumilivu msubiri mpaka atakapojifungua i think utapata jibu.Ila mimi pia ni msabato nimekulia katika Dini hiyo najua ni vigumu kiasi gani m/mme au m/mke kuoa au kuolewa nje ya usabato.Hayo yamenikuta tena bora wewe ni Mkristo mwenzio,mimi alikuwa muislam.Kama unavyojua mapenzi ni upofu.Mungu ndio anabariki ndoa sio mwanadamu.
 
"Waheshimu baba yako na mama yako, siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upeweyo na Bwana Mungu wako"
 
Mangaline umenena

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
iam not a man of confrontation. After all siamini katika mizozo. Iam a peace soldier.

Hapa hatuzozani na siaandika kwa kuzozana. Ila ukweli lazima usemwe, kwanza nawapongeza wazazi kwa uamuzi wao wa busara. Ngoja nikupe kifungu kimoja tu toka my lovely book(bible).
Mwanzo 2:20 tunasoma kuwa Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa na ndege wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni, lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye. Hapo nilipopigia msitari ndipo hasa panahusika kwa swali lako. Ni lazima wanandoa wafanane kwa kila kitu. Hata wazee wetu wa zamani walipata kunena, ndege wanaofanana mabawa wanaruka pamoja. Kufanana huku ni kwa mambo yote mfano tabia, maadili na bila kusahau kwa siku za leo dini pamoja na madhehebu maana haya yana mafundisho yaliyo tofauti, kwa hiyo ili kuepusha migongano ya imani hakuna budi kutafuta ambaye unafanana naye. Tofauti na hapo fuata kile wewe unataka.
Haijalishi uthamani wa kiti ambacho shetani amekupa hapa duniani, mwisho wake ni maafa.
 
He who has entered the marriage relation while unconverted is by his conversion placed under stronger obligation to be faithful to his companion, however widely they may differ in regard to religious faith; yet the claims of God should be placed above every earthly relationship, even though trials and persecution may be the result. With the spirit of love and meekness, this fidelity may have an influence to win the unbelieving one.175The Adventist Home, 48, 49, 61-69
 
funga mseto unafunga lutheran zen binti anabaki sabato, kama wazaz wanazngua bado badili funga sabato halafu unarud lutheran ndoa ya kikristu haivunjwi ati
 
Hilo mbona sio tatizo, ongea na huyo mkeo mtarajiwa kama ana ndugu yake ambae ni mtu mzima muelewa ili akaongee na wzazi wa huyo binti, wataelewa tu wengi yamewatokea tena sio dhehebu dini tofauti na wameelewa na maisha yanasonga, dont give up
 
Back
Top Bottom