SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
Wananchi wanataka kukaa karibu na vituo vya kupigia kura ili wasubirie kubandikwa kwa matokeo, lakini hii tume imebadili ukweli huo sasa inasema ni uvunjifu wa sheria.
Halafu kusubiria matokeo yabandikwe ilikuwa ni mita mia sasa tume hii inasema ni mita mia mbili, hivi nani anayetaka kuvunja amani ni tume au wananchi.
Halafu kusubiria matokeo yabandikwe ilikuwa ni mita mia sasa tume hii inasema ni mita mia mbili, hivi nani anayetaka kuvunja amani ni tume au wananchi.