PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,788
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi amepiga marufuku mijadala yoyote inayohusu Katiba na rasimu yake katika maeneo na viunga vyote vya mji wa Dodoma.
Aidha amepiga marufuku mikutano ya hadhara au makongamano yoyote ya Katiba kwa maelezo kwamba vitendo hivyo vitawavuruga wabunge wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza kesho mkoani Dodoma.
Nimejiuliza sana kuhusu marufuku hii...hivi wabunge wetu kumbe hawana hoja na misimamo kiasi kwamba wanaweza kuvurugwa na mijadala ya nje ya bunge!
Inakuwaje dola kupitia kwa Mkuu wa Mkoa inawafunga midomo waTanzania kuongelea katiba,kisa makazi yao ni Dodoma?
Je kwa enzi na miongo hii,
marufuku hii ina impact anayotarajia Mkuu huyu wa Mkoa??
Chanzo: Taarifa ya Habari ITV usiku huu.
Aidha amepiga marufuku mikutano ya hadhara au makongamano yoyote ya Katiba kwa maelezo kwamba vitendo hivyo vitawavuruga wabunge wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza kesho mkoani Dodoma.
Nimejiuliza sana kuhusu marufuku hii...hivi wabunge wetu kumbe hawana hoja na misimamo kiasi kwamba wanaweza kuvurugwa na mijadala ya nje ya bunge!
Inakuwaje dola kupitia kwa Mkuu wa Mkoa inawafunga midomo waTanzania kuongelea katiba,kisa makazi yao ni Dodoma?
Je kwa enzi na miongo hii,
marufuku hii ina impact anayotarajia Mkuu huyu wa Mkoa??
Chanzo: Taarifa ya Habari ITV usiku huu.