Marubani wa Tanzania

Marubani wa Tanzania

Ngodaz

Senior Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
120
Reaction score
114
Inakuwaje marubani wetu wanaanguka sana na ndege wakiwa ktk mazoez eeh?
 
Tatizo, izo ndege. Mbovu kisa tu za msaada bas zinapokelewa znaanza kaz. Ndo haya yanawakuta
 
Kwa mwaka moja ndege au helicopter ngapi zimepata ajali
Hapa TZ ? Usikurupuke tu .

Lete takwimu tuchangie hoja.
 
Tuna ndege ngapi za kusema tunapata ajari hovyo..?
 
Ndege ya jeshi ilianguka maeneo ya kabuku ikiwa ktk majaribio,ndege nyingine dsm ikiwa inaenda okoa mili ya watu ktk mafuriko ,kova alikuwa ndani meck saidik, mwataka takwimu gani sasa au vichwa vya panzi
 
Ndege ya jeshi ilianguka maeneo ya kabuku ikiwa ktk majaribio,ndege nyingine dsm ikiwa inaenda okoa mili ya watu ktk mafuriko ,kova alikuwa ndani meck saidik, mwataka takwimu gani sasa au vichwa vya panzi

Hahahaaaaaa!!
 
Back
Top Bottom