Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,733
- 218,317
Akizungumza leo amenukuliwa na vyombo vya Habari akidai kwamba , Ni vema Katiba ya Tanzania ikawa kama Katiba ya Marekani, ambayo inaweza kufanyiwa Marekebisho bila hata kuanza upya mchakato wa katiba kila yanapotakiwa mabadiliko.
Ikumbukwe kwamba Marry Nagu aliwahi kuhudumu kama Waziri wa Katiba Nchini Tanzania .
Toa Maoni yako.