sameer tamim
Member
- Oct 24, 2018
- 12
- 0
- Thread starter
- #21
hhmm nisaidie bs ujasir amal upi nifanye nianze kujiandaa mapema msaada tu nduguMbona wenzako hatukufa kwa presha,
Dogo sikiliza unatakiwa uanze kujifunza ujasiliamali ukiwa huko chuo, ajira sasa hivi ni changamoto.
Fikiria uwalimu miaka 4 iliyopita na hali ilivyo sasa hivi.
Kama umepata mkopo tenga kiasi uanze kufikiri nn cha kufanya kiasi hata ukimaliza chuo unakuwa na kitu cha kufanya, usifikilie sana kuhusu kuajiriwa.