Marketing and public relation NIT

sameer tamim

Member
Oct 24, 2018
12
0
Wakuu mimi nasoma course ya marketing and public relation NIT nipo mwaka wa kwanza.nauliza je nikimalza nnaweza kuomba kazi sehemu gani? na je hii course inadeal na nini?
 
Yaani unasoma marketing halafu una uulizia kuajiriwa, si mchezo.
 
kwanin unasema ivo
Kama unasoma inamaanisha si utakuwa muelewa na masoko ya bidhaa na huduma na hivyo kuweza kufanya ujasiliamali?

Lakini yapo makampuni yana maafisa masoko, afisa uhusiano nk labda ndio zitakuwa position zako, ila fikiria tofauti mzee watu wanasota kitaa.
 
Kama ndo mwaka wa kwanza hakikisha unakuwa na leseni yako ya udereva kabla hujamaliza semester ya kwanza na semister ya mwisho mwaka wa mwisho hakikisha unakuwa na cheti cha driving cha nit ...hayo ya marketing nitakushahuri baadae
 
Kama unasoma inamaanisha si utakuwa muelewa na masoko ya bidhaa na huduma na hivyo kuweza kufanya ujasiliamali?

Lakini yapo makampuni yana maafisa masoko, afisa uhusiano nk labda ndio zitakuwa position zako, ila fikiria tofauti mzee watu wanasota kitaa.
daah kwaiyo makampuni kama tbc startime siwez kuajiriwa?
 
Kama ndo mwaka wa kwanza hakikisha unakuwa na leseni yako ya udereva kabla hujamaliza semester ya kwanza na semister ya mwisho mwaka wa mwisho hakikisha unakuwa na cheti cha driving cha nit ...hayo ya marketing nitakushahuri baadae
khaa kwanini sasa?
 
hmmm ntakufa kwa presha
Mbona wenzako hatukufa kwa presha,

Dogo sikiliza unatakiwa uanze kujifunza ujasiliamali ukiwa huko chuo, ajira sasa hivi ni changamoto.

Fikiria uwalimu miaka 4 iliyopita na hali ilivyo sasa hivi.

Kama umepata mkopo tenga kiasi uanze kufikiri nn cha kufanya kiasi hata ukimaliza chuo unakuwa na kitu cha kufanya, usifikilie sana kuhusu kuajiriwa.
 
Back
Top Bottom