Nimekuwa nikipata fununu kutoka Kwa madereva malori niliyowahi kufanya nao mahojiano na walikiri kuwa kila walipoenda safari iliwalazimu kuchukua wake kila Kituo walipopiga kambi.
Marketers, sales na loan officers nao ni hatari sana, huwa kazi zao zinawapelekea kufanya umalaya kutokana na malipo madogo ya ujira wao, they vulnerable because they mingle with a lot of people in their daily activities.
Most of them hawajaoa na kuolewa na they are against marriage beliefs and it's institutions.
Marketers, sales na loan officers nao ni hatari sana, huwa kazi zao zinawapelekea kufanya umalaya kutokana na malipo madogo ya ujira wao, they vulnerable because they mingle with a lot of people in their daily activities.
Most of them hawajaoa na kuolewa na they are against marriage beliefs and it's institutions.