Mark Zuckerberg aingiza Trilion 65 kwa Siku

Mark Zuckerberg aingiza Trilion 65 kwa Siku

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,611
Reaction score
10,170
1754294088160.jpg


Thamani ya utajiri wa Mark Zuckerberg, imepanda baada ya kuongezeka kwa hisa zake ambazo zimemfanya kuingiza Dola Bilioni 26 sawa na Trilioni 65 kwa siku moja (Saa 24).

Unaambiwa mapato hayo makubwa ndani ya saa 24 yametokana na 'Meta Q2' kuongezeka kwa zaidi ya Asilimia 12.

Mkwanja huo ulioingia umeongeza utajiri wake hadi kufikia Dola Bilioni 271 na kumfanya kuwa mtu wa tatu kwa utajiri duniani.

Wewe unaingia Tsh Ngapi kwa siku?
 
View attachment 3430742

Thamani ya utajiri wa Mark Zuckerberg, imepanda baada ya kuongezeka kwa hisa zake ambazo zimemfanya kuingiza Dola Bilioni 26 sawa na Trilioni 65 kwa siku moja (Saa 24).

Unaambiwa mapato hayo makubwa ndani ya saa 24 yametokana na 'Meta Q2' kuongezeka kwa zaidi ya Asilimia 12.

Mkwanja huo ulioingia umeongeza utajiri wake hadi kufikia Dola Bilioni 271 na kumfanya kuwa mtu wa tatu kwa utajiri duniani.

Wewe unaingia Tsh Ngapi kwa siku?
Kuna wakati miaka ya nyumba kidogo hisa za FB zilishuka hadi jamaa utajiri wake ukashuka hadi 40 billions USD akatoka Hadi top 10. Kina musk na Beezos wakawa wanamcheka.
 
Ndo hivyo mkuu
Kuna huyu mwanzilishi wa PayPal anajuta kuuza hisa zake za FB Kwa 400 m USD. Angevumilia hadi Leo hisa zake zingekuwa na thamani ya zaidi ya 15 billions USD. Licha yeye ni billionaire bali anajuta akidai amefanya kosa la maisha Katika uwekezaji. Ni watu wa mwanzo walionunua hisa za FB/ meta.
 
View attachment 3430742

Thamani ya utajiri wa Mark Zuckerberg, imepanda baada ya kuongezeka kwa hisa zake ambazo zimemfanya kuingiza Dola Bilioni 26 sawa na Trilioni 65 kwa siku moja (Saa 24).

Unaambiwa mapato hayo makubwa ndani ya saa 24 yametokana na 'Meta Q2' kuongezeka kwa zaidi ya Asilimia 12.

Mkwanja huo ulioingia umeongeza utajiri wake hadi kufikia Dola Bilioni 271 na kumfanya kuwa mtu wa tatu kwa utajiri duniani.

Wewe unaingia Tsh Ngapi kwa siku?
Technology pays wazee
 
Technology pays wazee
Ila Mark kavumilia kapitia ups and downs sana kuimarisha kampuni Yake. Alipoinunua Instagram na WhatsApp wachumi walimdhihaki hata walimshauri atajuta kutoa 19 billions USD kununua WhatsApp. Aliwaaproach Yahoo kwa dau la 40 billions USD yahoo wakampiga Chini. Yahoo anajutia sasa hivi kwanini hakukubali kwasababu thamani yake imeshuka hata haizidi 15 billions.
 
Ila Mark kavumilia kapitia ups and downs sana kuimarisha kampuni Yake. Alipoinunua Instagram na WhatsApp wachumi walimdhihaki hata walimshauri atajuta kutoa 19 billions USD kununua WhatsApp. Aliwaaproach Yahoo kwa dau la 40 billions USD yahoo wakampiga Chini. Yahoo anajutia sasa hivi kwanini hakukubali kwasababu thamani yake imeshuka hata haizidi 15 billions.
Wahtsap saivi imeanza kuingiza pesa kupitia verification ,
 
Wahtsap saivi imeanza kuingiza pesa kupitia verification ,
Ila najiuliza kwanini marks kakataa kuruhusu matangazo advertesemts WhatsApp jamaa kagoma kabisa. Na akiruhusu Tu atakuwa tajiri namba moja duniani na atampita kwa mbali Elon
 
Mbongo unaingiza ngapi😂
Mkuu hata sisi tungekuwa na nidhamu ya matumizi ya pesa kudhibiti mianya ya ufisadi rushwa na ubadhirifu tungekuwa matajiri na maisha mazuri.

Wee fikiria matrillion yetu wachache wanajikusanyia.

Skandinavian wanaendelea kwasababu ya nidhamu ya pesa. Norway ni matajiri kwasababu ya mafuta lakini hawajabweteka watu wanafanya kazi kodi lazima ulipe yani ukiamka kwenda kazini unaona kila mtu yuko kwenye nafasi yake ya majukum taifa linasonga.

Tuna mzaha sana likija swala la maendeleo.

Hata mimi ishu za Imam Hussain inabidi nipunguze.

Nyamwi255 Beira Boy Moisemusajiografii
 
Back
Top Bottom