Mark Mwandosya karibu timu ya mabadiliko

Mark Mwandosya karibu timu ya mabadiliko

Mjomba wa taifa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
231
Reaction score
161
Mzee with Mwandosya unaheshimavya kipekee nchini Tanzania. Elimu name taaluma yako watanzania wanaihitaji sana. Busara zako bad zinahitajika kuhakikisha nchi hii inapiga hatua. We we umekuwa Alana muhimu kuwakilisha watu wananchi Wa Nyanda za juu kusini.

Mwandosya kujiunga kwako timu ya madiliko niheshima kubwa kwako utakayoipata kwa watanzania.

Je, wengine mnangoja nini??

CCM chali.
 
Nina tumaini atajiunga na wanamabadiliko kabla ya oct 24.
 
Prof Mwandosya wala usiende huko. Hamna chochote kule utakacho kifanya wakakipa thaman halisi..

Zaid zaid utaenda kuwa exposed kwenye masumu zaid

Wale ni wahuni na wanaendesha mambo kihuni
 
Utafanya nini kule zaid ya alichofanya Zitto? Baada ya yote Zitto akaitwa msalit na kutimuliwa chaman tena kwa aibu

Utafanya nini zaid ya alichofanya Dr Slaa? Mwisho wa siku akaonekana hafai ila anafaa lowasa waliyekuwa wana mwimba kila siku kuwa ni fisadi

Wewe utafanya nini zaid?

Kule sio kama CCM wala sio kama chama kingine chochote cha kitaifa cha kisiasa. Utaenda kulost tu. Baki ccm
 
Kwenda ukiwa ni kumaliza vibaya muda wa kuendelea kuishi duniani..baki njia kuu michepuko ya ukiwa sio dili
 
Kwenda ukiwa ni kumaliza vibaya muda wa kuendelea kuishi duniani..baki njia kuu michepuko ya ukiwa sio dili

Acheni kupaniki.akiamua mtamfanya nini?mtakachoweza sana sana ni kumwita oil chafu,mwizi,na mzigo.,zaidi ya hapo hamna.
 
Back
Top Bottom