Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,695
- 830,697
Leo ni meli tatu pekee zinaonekana kuwa zimepitia hadi sasa, katika mlango bahari wa Hormuz kulingana na uchambuzi wetu wa data za MarineTraffic
Kulingana na uchambuzi wa data za ufuatiliaji uliofanywa na kampuni ya ujasusi wa baharini ya Kpler, meli nne zilipita kwenye mlango bahari jana na sita Jumapili.
Idadi kubwa zaidi ya kuvuka kwa meli Hormuz ilikuwa wiki iliyopita ambapo meli 13 zilivuka Jumamosi.
Kabla ya mzozo kuanza, karibu meli 140 zilisafiri kila siku, kulingana na Kituo cha Habari cha Pamoja cha Baharini.
Kulingana na uchambuzi wa data za ufuatiliaji uliofanywa na kampuni ya ujasusi wa baharini ya Kpler, meli nne zilipita kwenye mlango bahari jana na sita Jumapili.
Idadi kubwa zaidi ya kuvuka kwa meli Hormuz ilikuwa wiki iliyopita ambapo meli 13 zilivuka Jumamosi.
Kabla ya mzozo kuanza, karibu meli 140 zilisafiri kila siku, kulingana na Kituo cha Habari cha Pamoja cha Baharini.