Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
Kuongoza nchi kwa sababu umemfuatilia tweeter!!!!????
Seriously ndio urais umekuwa hivi sasa???!!!
Asee. .,. . . . . . !!!!!
Huyu ni another kid raised by pesa ya walalahoi she think babake alikuwa waziri na yeye anaweza kuwa nimeshawahi kutana naye IQ yake less than average. .....asitupotezee mda.
Sasa hivi Mkuu si akina Mama tu hata baadhi ya akina Baba wanaanza kuigwaya siasa kwa kuhofia maisha yao. Kumbuka kutaka kuharibiwa maisha yake (Lwakatare) ili tu kumchafua yeye na viongozi wengine wa juu kwa ushahidi usiokuwa na kichwa wala miguu. Angeweza kabisa kufua jela.
Siku hizi kuwa na ukaribu na Zitto ni sawa na disqualification? That's according to Mbowe's supporters point of view, very funny indeed!Hafai hata siku moja, huyu dada namjua kindakindaki, pamoja na kwamba anapendelea kuvaa vichupi... ni swahiba mkubwa wa Zitto Kabwe na ndiye alikuwa anatembea kwenye mikoa kuomba viongozi wa CHADEMA kumkataa Mbowe.
Tuna mtaka RORYA kwa ticket ya ukawa.
Watu kama huyu mleta mada ambao wanadai wana kitu inaitwa ''exposure'' ndiyo wa kwanza kurudi hapa janvini na kuanza kutoa kejeli eti CCM inapata kura kutoka kwa watu ambao hawana elimu wakati ukweli ndiyo huu.
Eti mtu anapitishwa kuwa kiongozi anayefaa baada ya kumkubali kutokana na tweets zake. GOD forbid!
Wananchi wengi wapiga kura siyo wajinga kwa kiasi hiki!.
Wananchi wengi wanatumia hekima na busara katika matumizi ya haki zao za kidemokrasia kwenye sanduku la kura.
Ni hawa hawa kama mleta mada baada ya kumchagua utawasikia baadaye wanaanza kusema, huyu ni mamluki au msaliti huku wakisahau kuwa maamuzi yao ya kitoto ndiyo yamemuweka kuwa kiongozi.
Hizi ndizo siasa za ''kizazi kipya''.
Issue sii tweeter ila mtu kusema mtu fulani anafaa kuwa ABC sababu tu anamfuatilia tweets zake!!!Hosni Mubarack alipinduliwa kwa tweets tu. Usiichululie poa twitter na mitandao mingine ya kijamii. Maria ni makini sana na hata mimi namuunga mkono kuongoza ofisi umma one day hata kama si urais
Maria Sarungi ni binti wa Mzee Profesa Philemon Sarungi aliyewahi kuwa mkurugenzi wa kitivo cha afya cha Muhimbili na baadaye kushika nyadhifa kadhaa serikalini kabla ya kusitaafu.
Mwanamama huyu ameolewa na mwanamme mwenye asili ya Ethiopia akiwa na maskani yake Dar es Salaama ambako ana biashara zake binafsi kadhaa, mojawapo ikiwa ya kutafuta warembo wa kushiriki mshindano ya Miss World ya Donald Trump. Mmoja wa warembo waliopitia katika mikono ya Maria Sarungi ni mrembo Flaviana Matata ambaye sasa hivi anang'aa sana kwenye anga za urembo huko New York Marekani.
Ingawa sijui undani wake binafsi, najua kuwa Maria Sarungi siyo mwanasiasa, bali aliteuliwa na Rais kuingia kwenye bunge la katiba ambalo limemaliza muda wake. Mchango wake kwenye bunge hilo la katiba uko wazi.
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja sasa, nimekuwa nafuatlia tweets zake, na kugundua kuwa ni mwanamama mwenye msimamo thabiti ambaye hajawa corrupted na party politics za vyama. Anachukua mazuri kutoka vyama vyote na kupinga mabovu ya vyama vyote.
Ingawa hatujaruhusu kuwa na independent candidates kwenye nchi hii, mtu wa aina hiyo ndiye nilikuwa ninataka ashike uskani wa kuingoza nchi hii.
Party politics zimechangia sana kuharibu nchi yetu na tunatakiwa kuachana nazo kuanzia sasa.
Wengine ni wepi katika hiyo sample yako mkuu??!!!
Issue sii tweeter ila mtu kusema mtu fulani anafaa kuwa ABC sababu tu anamfuatilia tweets zake!!!
Ukiweka vigezo vya mtu makini ili apimwe kwavyo itakuwa more objective! !!!
Hana lolote huyo mwanamke. Yaani hii nchi bana shida kweli kweli. Mtu akitweet huku akinukuu vitabu vya zamani basi mshaconclude kuwa anafaa kuwa kiongozi. Me namfahamu vizuri sana huyu binti, hana lolote zaidi ya sifa na kutafuta wanaume wa kisiasa. Nikikutajia wanaume waliopita naye kwenye bunge la katiba unaweza kuzimia.....
Hana lolote huyo mwanamke. Yaani hii nchi bana shida kweli kweli. Mtu akitweet huku akinukuu vitabu vya zamani basi mshaconclude kuwa anafaa kuwa kiongozi. Me namfahamu vizuri sana huyu binti, hana lolote zaidi ya sifa na kutafuta wanaume wa kisiasa. Nikikutajia wanaume waliopita naye kwenye bunge la katiba unaweza kuzimia.....
huwa nashindwa kumtofatisha na SALAMA. sorry for that
Kweli hadhi ya Ikulu imeshuka!