Toughlendon
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 498
- 749
Mwenzako Agrey si kaanza mazoezi ya kukaza nyoro na wewe naenda haujachelewa...
Ungeandika condoms. Ukiandika mpira wa kiume atajua ni football.Hadi tubakwenda mitamboni teuzi zote hujapata jitafakari Bwana mdogo usitumike kama mpira wa kiume kuna maisha baada ya uchawa
unamaanisha ni kidali ya watu?CCM haiwezi ikateua shoga. Huyu jamaa hadi mikutano ya UWT anahudhuria.