Pasco hujapata mwaliko kwenda na fastjet kwenye mazishi hayo, hesabuni trip nyingine hiyo.Japo mama huyo na swahiba wake Reagan walikuwa moto kwa Mataifa ya kiafrika wakti wa East/West blocks ni mfano wa kuigwa kwa kuweka viongozi wenye Legacy.Siyo kuwa na viongozi bora fuata upepo ,hujui kesho anaamuka na ajenga ipi.RIP Magee