Marekani yawaua Al-Shabab 150

Marekani yawaua Al-Shabab 150

Tangu lini marekani akaongea ukweli...hizo zote ni propaganda, na sisi waafrika tumekutwa hatuna akili, mambumbumbu! tunaamini chochote tunachoambiwa na wazungu
ebu tuambie anayeongeaga ukweli? najua huna jibu umebaki kukodoa macho tu! ee kama unalo jibu ebu jibu sasa ni nani anaongeaga ukweli?
 
Al shabab hawawezi kujikusanya wengi hivyo mahali pamoja kama nzige wakati wanajua drones za wamarekani zinawavizia all the time....huu ni uongo ambao hata mtoto wa chekechea anang'amua.....
Ni wazi kuwa waliouwawa wengi ni raia....
 
tupe ushahidi wa ukosoaji wako acha ujuha

mimi ndio nikupe ushahidi we vipi? Mimi huwa sifatilii chanel za kishenzi kama bbc,cnn, na hata aljazeera....aljazeera ya sasa sio ile ya kipindi kile ilikwa no 1, leo hii iko chini ya usa so usitarajie habari zao zote zikawa za kweli!
 
mimi ndio nikupe ushahidi we vipi? Mimi huwa sifatilii chanel za kishenzi kama bbc,cnn, na hata aljazeera....aljazeera ya sasa sio ile ya kipindi kile ilikwa no 1, leo hii iko chini ya usa so usitarajie habari zao zote zikawa za kweli!
lete bas hizo za ukweli za tbc
 
ebu tuambie anayeongeaga ukweli? najua huna jibu umebaki kukodoa macho tu! ee kama unalo jibu ebu jibu sasa ni nani anaongeaga ukweli?


Fuatila hizi chanel RT,Almayadeen na Masirah! Achana na kinaBBC
 
mimi ndio nikupe ushahidi we vipi? Mimi huwa sifatilii chanel za kishenzi kama bbc,cnn, na hata aljazeera....aljazeera ya sasa sio ile ya kipindi kile ilikwa no 1, leo hii iko chini ya usa so usitarajie habari zao zote zikawa za kweli!
bila ushahidi huna haki ya kuongea, kwa kuwa umeongea lete ushahidi wa ulichoongea, kama umesema bila ushahidi basi wewe ni popoma. kama unao ushahidi lete hapa
 
Fuatila hizi chanel RT,Almayadeen na Masirah! Achana na kinaBBC
mie na fuatilia zote ila mie sio kama wewe ambaye habari usiyoipenda unaipinga na kuita waliyoitoa ni waongo huku wewe hujui lolote kuhusu habari hiyo. huo ni ujuha
 
Ushukuru sana we ni wa kike ningekuambia jambo baya sana

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
mie sio wa kike mwenzio mi ni dume kama dingi yako, kwa hiyo niambie tu hilo jambo baya sawa mdada
 
😀😀😀
mie na fuatilia zote ila mie sio kama wewe ambaye habari usiyoipenda unaipinga na kuita waliyoitoa ni waongo huku wewe hujui lolote kuhusu habari hiyo. huo ni ujuha

Nyinyi ndio walewale mzungu akila mavi na wewe utafuata
 
😀😀😀


Nyinyi ndio walewale mzungu akila mavi na wewe utafuata
iliwazalo mjinga ndo litakalomtokea, unawaza kula mavi ya wazungu wa RT?! hiv kumbe huangalii cnn kwa kuwa rais wa nchi iliyoko cnn ni mweusi si mzungu na hivyo huwez kuka mavi yao?! umefika mbali sana huko asee, achaga inshu hizo bana au kama ni kula, kula ya wote. na weusi nasi ni watu
 
Kwa hiyo kwa kua umepitia mafunzo ya kijeshi tukuamini wewe na huyo msemaji wa Al Shabaab ila tusiiamini Pentagon
emoji54.png
emoji54.png
?
Na Osama mlisema hajafa ni uongo tu wa US ila mpaka leo simsikii tena!
Alaf umepitia jeshi au mgambo?

Mambo mengine bwana, tangu lini jamaa hawa wakasema ukweli? Pentagon wangekuwa wakali na weledi katika ulinzi wa nchi yao, mbona Osama alishambulia Jengo la Pentagon na kuharibu kabisa wing moja ya jengo hilo kwa kutumia vijana wa Kisaudia walio kuwa wanaendesha ndege za kubebea abiria - jeshi la Marekani pamoja na zana zao zote wanazo dai zina teknolojia ya hali ya juu kuliko za wenzao lilifanya jitihada gani kukabiriana na mashambulizi hayo yaliyo dumu kwa saa matatu na ushei??

Nchi yenye jeshi kubwa la anga na ndege za kivita lukuki hachilia mbali makombora chungu nzima ya kulinda anga la nchi yao, wanakwenda kuzidiwa kete na kikundi kidogo cha vijana wenye kufahamu weakness za Taifa lenye majigambo na dhalau, Bush alipo pata taarifa ya mashambulizi aliondoka mkuku kutoka shule ya chekechea akaenda kujificha kwenye mahandaki akiambatana na Chenny - woga kama nini sijui, yaani Commander In Chief wa the Only Superpower anakwenda kujichimbia aridhini wakati Majengo/Ofisi zenye unyeti wa pekee in the Land yakishambuliwa kila sehemu!!!

Kama abiria wasingejitoa muhanga kwa kukabiriana ana kwa ana na Waarabu mpaka ndege ikafikia hatua ya kahanguka kabla hajafika Ikulu ya Marekani ingekuwa aibu tupu, ujasiri wa abiria ndio ulinusuru White House hisishambuliwe - Sasa nyinyi mnao amini taarifa za Pentagon mbona hawakuwahi kutoa taarifa kuhusu idadi ya maafisa wa jeshi na raia waliopoteza maisha yao kwenye jengo la PENTAGON baada ya kumshambuliwa na magaidi - mpaka leo wako kimya kabisa, lakini idadi kamili ya Al Shabaab walio uwawa katika mashambulizi ya Drone idadi wanadai wanayo.
 
Back
Top Bottom