Marekani yawaua Al-Shabab 150

Marekani yawaua Al-Shabab 150

Mambo mengine bwana, tangu lini jamaa hawa wakasema ukweli? Pentagon wangekuwa wakali na weledi katika ulinzi wa nchi yao, mbona Osama alishambulia Jengo la Pentagon na kuharibu kabisa wing moja ya jengo hilo kwa kutumia vijana wa Kisaudia walio kuwa wanaendesha ndege za kubebea abiria - jeshi la Marekani pamoja na zana zao zote wanazo dai zina teknolojia ya hali ya juu kuliko za wenzao lilifanya jitihada gani kukabiriana na mashambulizi hayo yaliyo dumu kwa saa matatu na ushei??

Nchi yenye jeshi kubwa la anga na ndege za kivita lukuki hachilia mbali makombora chungu nzima ya kulinda anga la nchi yao, wanakwenda kuzidiwa kete na kikundi kidogo cha vijana wenye kufahamu weakness za Taifa lenye majigambo na dhalau, Bush alipo pata taarifa ya mashambulizi aliondoka mkuku kutoka shule ya chekechea akaenda kujificha kwenye mahandaki akiambatana na Chenny - woga kama nini sijui, yaani Commander In Chief wa the Only Superpower anakwenda kujichimbia aridhini wakati Majengo/Ofisi zenye unyeti wa pekee in the Land yakishambuliwa kila sehemu!!!

Kama abiria wasingejitoa muhanga kwa kukabiriana ana kwa ana na Waarabu mpaka ndege ikafikia hatua ya kahanguka kabla hajafika Ikulu ya Marekani, ujasiri wa abiria ndio ulinusuru White House hisishambuliwe - Sasa nyinyi mnao amini taarifa za Pentagon mbona hawakuwahi kutoa taarifa kuhusu idadi ya maafisa wa jeshi na raia waliopoteza maisha yao kwenye jengo la PENTAGON baada ya kumshambuliwa na magaidi - mpaka leo wako kimya kabisa, lakini idadi kamili ya Al Shabaab walio uwawa katika mashambulizi ya Drone idadi wanadai wanayo.
Unataka tuwaamini al shabaab ila Pentagon tusiwaamini au?
 
Mambo mengine bwana, tangu lini jamaa hawa wakasema ukweli? Pentagon wangekuwa wakali na weledi katika ulinzi wa nchi yao, mbona Osama alishambulia Jengo la Pentagon na kuharibu kabisa wing moja ya jengo hilo kwa kutumia vijana wa Kisaudia walio kuwa wanaendesha ndege za kubebea abiria - jeshi la Marekani pamoja na zana zao zote wanazo dai zina teknolojia ya hali ya juu kuliko za wenzao lilifanya jitihada gani kukabiriana na mashambulizi hayo yaliyo dumu kwa saa matatu na ushei??

Nchi yenye jeshi kubwa la anga na ndege za kivita lukuki hachilia mbali makombora chungu nzima ya kulinda anga la nchi yao, wanakwenda kuzidiwa kete na kikundi kidogo cha vijana wenye kufahamu weakness za Taifa lenye majigambo na dhalau, Bush alipo pata taarifa ya mashambulizi aliondoka mkuku kutoka shule ya chekechea akaenda kujificha kwenye mahandaki akiambatana na Chenny - woga kama nini sijui, yaani Commander In Chief wa the Only Superpower anakwenda kujichimbia aridhini wakati Majengo/Ofisi zenye unyeti wa pekee in the Land yakishambuliwa kila sehemu!!!

Kama abiria wasingejitoa muhanga kwa kukabiriana ana kwa ana na Waarabu mpaka ndege ikafikia hatua ya kahanguka kabla hajafika Ikulu ya Marekani ingekuwa aibu tupu, ujasiri wa abiria ndio ulinusuru White House hisishambuliwe - Sasa nyinyi mnao amini taarifa za Pentagon mbona hawakuwahi kutoa taarifa kuhusu idadi ya maafisa wa jeshi na raia waliopoteza maisha yao kwenye jengo la PENTAGON baada ya kumshambuliwa na magaidi - mpaka leo wako kimya kabisa, lakini idadi kamili ya Al Shabaab walio uwawa katika mashambulizi ya Drone idadi wanadai wanayo.
akili ndogo bana! hiyo hiyo US ilitangaza kushambuliwa kwa pentagon na wtc ukaamini na hadi sasa unaamini ndo maana umeleta kijihadithi chako hapa, afu hiyo hiyo US katika post zako zote huko juu umesema sio ya kuamini hata kidogo ni waongo. ama kweli akili ndogo haiwezi kuargue na akili kubwa.
 
iliwazalo mjinga ndo litakalomtokea, unawaza kula mavi ya wazungu wa RT?! hiv kumbe huangalii cnn kwa kuwa rais wa nchi iliyoko cnn ni mweusi si mzungu na hivyo huwez kuka mavi yao?! umefika mbali sana huko asee, achaga inshu hizo bana au kama ni kula, kula ya wote. na weusi nasi ni watu

Fikra zako finyu kijana, hapo hakuna la maana umeongea! So my advice jifunze kwanza kuandika ndipo uje hapa, na sio kukurupuka kama mnywa gongo Au naweye unagonga
 
Fikra zako finyu kijana, hapo hakuna la maana umeongea! So my advice jifunze kwanza kuandika ndipo uje hapa, na sio kukurupuka kama mnywa gongo Au naweye unagonga
zangu ni finyu na kila siku zinatanuka, wewe fikra zako ni mfu na hakuna ulichonishauri hapo. mimi sikushauri chochote make hizo fikra za ndo zishakufa tena hauwezi ukashaurika
 
zangu ni finyu na kila siku zinatanuka, wewe fikra zako ni mfu na hakuna ulichonishauri hapo. mimi sikushauri chochote make hizo fikra za ndo zishakufa tena hauwezi ukashaurika

Nyinyi wajaluo mna matatizo kwelikweli, mimi na wewe nani wakumpa mwenzake advice? Nimekupa ushauri wa bure unazidi kuharibu tu...Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nyinyi wajaluo mna matatizo kwelikweli, mimi na wewe nani wakumpa mwenzake advice? Nimekupa ushauri wa bure unazidi kuharibu tu...Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
akili mfu bana, ona sasa unaanza kulopoka kabila! ila ndo kawaida ya akili mfu, eti advice?!! advice ndo nini sasa! si uandike tu ushauri! ok nimekumbuka ndo akili mfu zilivyo. afu kumbe ndo yuleyule dada faiza! shkamoo dada
 
Nyinyi wajaluo mna matatizo kwelikweli, mimi na wewe nani wakumpa mwenzake advice? Nimekupa ushauri wa bure unazidi kuharibu tu...Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Wacha kuchesea kabila ya watu ya Ramogi
 
Think twice why USA lait to attach al shababu?? And remember the policy of USA have a permanent interest an
 
Back
Top Bottom