Kwahiyo mkuu huu mradi hautatekelezwa tena? Maana kuna kimya kingi kisicho na kifani kuhusu mradi huu.Niliwahi kusema humu kwamba Marekani kamwe haitokubali China ichukue bandari ya Bagamoyo na kuweka manowari na meli zake za kivita. China ikipata bandari ya Bagamoyo, itahatarisha maslahi ya Marekani kwenye bahari ya hindi na ndani ya bara la Afrika. Kitu ambacho Marekani itakipiga vita mpaka mwisho.