Marekani yalalamika Uturuki kuagiza S-400 nyingine toka Urusi badala ya kununua Patriot PAC-3 au THAAD

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Dec 27, 2019
2,921
15,613
Uturuki imesema inaingiza bachi nyingine ya S-400 toka Urusi. Marekani yalalamika na kulialia kwa nini Uturuki ichukue mfumo huo bora zaidi wa Ulinzi wa anga na kuacha yale 'mavyumavyuma' chakavu ya Marekani yaitwayo Patriot PAC-3 na THAAD?!

Biden kaishia kupiga mikwara mbuzi ya kuiwekea vikwazo Uturuki! Ila Erdoğan ni kidume huwa hajali mikwara mbuzi.

Kama ni kweli silaha za Marekani zina ubora zaidi ya Urusi (au walau sawasawa na za Urusi), yanini kulazimisha watu wanunue mavyumavyuma chakavu ya Marekani? Achia watu wawe huru wachague bidhaa bora zinazokonga nyoyo zao....

Mie nauza vitumbua vyangu, wewe wauza vitumbua vyako...acha wateja wakija wachague vitumbua vyenye viwango vya juu wanavyovipenda...hasa ukizingatia wateja wenyewe wameshatesti ladha ya vitumbua vyote.
=====
SmartSelect_20220817-201331_Chrome.jpg

 
... Marekani ina mkataba maalumu na Uturuki; muhimu mkataba uheshimiwe. Uturuki ana umalaya sana sijui kwanini.

Mkuu, Uturuki hana Umalaya wowote wala nini sijui - Rais wa Uturuki aliwashtukia Wanerikani (CIA) walipo kula njama za kumuondoa madarakani kwa njia ya mapinduzi Putin ndiye aliye mu-save hasipinduliwe - hivi ni binadamu gani mwenye akili timamu anaweza kuamini Taifa lililo wahi kula njama za kukuondoa madarakani??

Tuwe wakweli hapa, tatizo kubwa la Merikani limejikita zaidi kwenye kujiona wao ziadi ie hakuna watu wengine Duniani wenye akili kama wao - kwa hiyo wana imani potofu kwamba Mungu aliwapatia kibali cha kufanya lolote wapendalo Duniani - liwe zuri au baya bila ya kuhojiwa na mtu.

Chukulia mfano mdogo wa kutishia mataifa karibu yote Duniani kwamba atakaye thubutu kununua an integrated Air Defense System Type S-400 kutoka Urusi atakiona!!

Waliwahi hata kuwatisha Wachina na India kwamba wasi nunue S-400 - akili gani hizi?? Yaani USA badala ya kuruhusu ushindani wa kuuza silaha Duniani wao wana kazania kuhujumu washindani wao specifically Russia, wakishindwa kufanikisha njama zao ovu wanakimbilia kwenye media zao kueneza taarifa/habari mbaya za kubuni tu - mfano: eti HIMARS zimefanikiwa kushambulia battery za S-400 na kuziteketeza zote - kumbe ni ulaghai na uongo mtupu, publicity stunt za Uongo kuhusu uharibifu wa S-400 una lengo moja tu namely kuharibia sifa S-400 ili zisiuzike Duniani - ndio walivyo wabinafsi sana na roho ya kutu.
 
Uturuki imesema inaingiza bachi nyingine ya S-400 toka Urusi. Marekani yalalamika na kulialia kwa nini Uturuki ichukue mfumo huo bora zaidi wa Ulinzi wa anga na kuacha yale 'mavyumavyuma' chakavu ya Marekani yaitwayo Patriot PAC-3 na THAAD?!

Biden kaishia kupiga mikwara mbuzi ya kuiwekea vikwazo Uturuki! Ila Erdoğan ni kidume huwa hajali mikwara mbuzi.

Kama ni kweli silaha za Marekani zina ubora zaidi ya Urusi (au walau sawasawa na za Urusi), yanini kulazimisha watu wanunue mavyumavyuma chakavu ya Marekani? Achia watu wawe huru wachague bidhaa bora zinazokonga nyoyo zao....

Mie nauza vitumbua vyangu, wewe wauza vitumbua vyako...acha wateja wakija wachague vitumbua vyenye viwango vya juu wanavyovipenda...hasa ukizingatia wateja wenyewe wameshatesti ladha ya vitumbua vyote.
=====
View attachment 2326706
US analalama as if kazama mfukoni kugharamia hizo silaha. Ha ha watulize mshono tusipangiane matumizi m@m@e!
 
Tatizo kubwa la USA limejikita kwenye kujiona wao ziadi ie hakuna watu wengine Duniani wenye akili kama wao - kwa hiyo wana imani potofu kwamba Mungu aliwapatia kibali cha kufanya lolote Duniani - liwe zuri au baya bila ya kuhojiwa na mtu.

Chukulia mfano mdogo wa kutishia mataifa karibu yote Duniani kwamba atakaye thubutu kununua an integrated Air Defense System Type S-400 kutoka Urusi atakiona!!

Waliwahi hata kuwatisha Wachina na India kwamba wasi nunue S-400 - akili gani hizi?? Yaani USA badala ya kuruhusu ushindani wa kuuza silaha Duniani wao wana kazania kuhujumu washindani wao specifically Russia, wakishindwa kufanikisha njama zao ovu wanakimbilia kwenye media zao kueneza taarifa/habari mbaya za kubuni tu - mfano: eti HIMARS zimefanikiwa kushambulia battery za S-400 na kuziteketeza zote - kumbe ni ulaghai na uongo mtupu, publicity stunt za Uongo kuhusu uharibifu wa S-400 una lengo moja tu namely kuharibia sifa S-400 ili zisiuzike Duniani - ndio walivyo wabinafsi sana na roho ya kutu.
Ingekuwa uswahilini kwetu ungekuta wamegradueti Uchawi wanaitwa vigangwe hovyo sana hilo taifa.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
... Marekani ina mkataba maalumu na Uturuki; muhimu mkataba uheshimiwe. Uturuki ana umalaya sana sijui kwanini.

Hakuna cha mkataba wala nini Marekani alidanganya ndege zake ni stealth hazionekani kwenye rada yyte maajabu S-300 ya enzi za soviet ikafanya kweli syria na serbia afu kwa dharau wakawambia “Tulijua haionekani kwenye rada”.

Usione Marekani anapiga biti S-400 zisinunuliwe sababu anajua udhaifu wa silaha zake utajulikana maana amezoea kuwazuia ndugu zake silaha za mchongo.
 
Mkuu, Uturuki hana Umalaya wowote wala nini sijui - Rais wa Uturuki aliwashtukia Wanerikani (CIA) walipo kula njama za kumuondoa madarakani kwa njia ya mapinduzi Putin ndiye aliye mu-save hasipinduliwe - hivi ni binadamu gani mwenye akili timamu anaweza kuamini Taifa lililo wahi kula njama za kukuondoa madarakani??

Tuwe wakweli hapa, tatizo kubwa la Merikani limejikita zaidi kwenye kujiona wao ziadi ie hakuna watu wengine Duniani wenye akili kama wao - kwa hiyo wana imani potofu kwamba Mungu aliwapatia kibali cha kufanya lolote wapendalo Duniani - liwe zuri au baya bila ya kuhojiwa na mtu.

Chukulia mfano mdogo wa kutishia mataifa karibu yote Duniani kwamba atakaye thubutu kununua an integrated Air Defense System Type S-400 kutoka Urusi atakiona!!

Waliwahi hata kuwatisha Wachina na India kwamba wasi nunue S-400 - akili gani hizi?? Yaani USA badala ya kuruhusu ushindani wa kuuza silaha Duniani wao wana kazania kuhujumu washindani wao specifically Russia, wakishindwa kufanikisha njama zao ovu wanakimbilia kwenye media zao kueneza taarifa/habari mbaya za kubuni tu - mfano: eti HIMARS zimefanikiwa kushambulia battery za S-400 na kuziteketeza zote - kumbe ni ulaghai na uongo mtupu, publicity stunt za Uongo kuhusu uharibifu wa S-400 una lengo moja tu namely kuharibia sifa S-400 ili zisiuzike Duniani - ndio walivyo wabinafsi sana na roho ya kutu.
Superpower Mrusi hawezi kutishwa na lile fuso'kibinua mchanga' kiitwacho HIMARS.
 
Uturuki inaujua vizuri muziki wa S-400. Mwanzoni mwa vita ya ukraine drones za Uturuki zilisumbua sana. Lakini Urusi alivyosogeza S-400 huko mashariki mwa ukraine, drones za uturuki ziliunguzwa usipime!! Hazisikiki tena huko ukraine!! Kwa nini asichukue mzigo mwingine wa S-400.
 
Back
Top Bottom