Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 4,252
- 9,305
Mchokozi yupi apo kwa akili yako !!! Marekani atoke uko kwao aje eneo lako kukupangia cha kufanya✍️iran nao wachokoz kisa cha kuidondosha apache inayogarimu mamilioni ya dolari kuundwa ni nn,?
the world is a warring planet. And that is ok!Dunia Imegoma Kutulia Kabisa
Kamwambie mchungaj wako Iran hatosurrenderIran ange sarenda tu. Kiburi cha watawala kitaligharimu sana taifa. WANANCHI ndio wahanga wakuu. Hawakujifunza kwa Iraq ya Sadam na mabomu yao ya scud?
kiranja wa dunia atawamaliza
Wamekuomba msaada?Hizi athari za vita hazimuumizi USA wanaoumia ni wananchi wa Iran..hakuna kombora linalodondoka US..
Na itakufikia hata wewe..Wakifunga Hormuz hata sisi wadanganyika cha moto kitatufikia.Iran atakula jeuri yake
Sawa mkuuNa itakufikia hata wewe..Wakifunga Hormuz hata sisi wadanganyika cha moto kitatufikia.
Wewe nae kiazi uvamiwe kwako na wahalifu halafu usarende ? Ukiranja wa kufanya ugaidi?Iran ange sarenda tu. Kiburi cha watawala kitaligharimu sana taifa. WANANCHI ndio wahanga wakuu. Hawakujifunza kwa Iraq ya Sadam na mabomu yao ya scud?
kiranja wa dunia atawamaliza
Sisi kama Iran tunasema,mabeberu yakisaidiana na mayahudi hatuwezi.Kwanza hata wakitutwanga ni kama tumewatwanga tu.Iran ni Mandonga wachangamfu.Tupige tujitangazie ushindi.US forces began launching additional strikes against multiple targets in Iran at 5:15 pm EDT (21:15 GMT), US Central Command said in a post on X on Wednesday.
"The strikes are in response to Iran’s unwarranted and continued aggression," the military said.