Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,919
- 15,604
Trump kaidhinisha wanajeshi wa ziada milioni 1 toka miongoni mwa wajeda wa akiba na waliostaafu, kuingia mzigoni ktk vita dhidi ya corona. Hiyo inajiri kwa ajili ya kuwaongezea nguvu majeshi yaliyokuwa yakiendelea na vita hiyo.
Wajeda hao watatoka ktk makundi ya Navy, Air force, Army na Homeland security. Wanajeshi hao watahudumu kwa kipindi cha miezi hadi 24 (miaka 2).
Wajeda hao watatoka ktk makundi ya Navy, Air force, Army na Homeland security. Wanajeshi hao watahudumu kwa kipindi cha miezi hadi 24 (miaka 2).