Marekani wanaiogopa Iran?

Marekani wanaiogopa Iran?

Ooouch!!

What happened..?

😀

So much for that so called 'establishment'.


Hahahaa no body saw this Donald coming...

Sasa tumebaki tunaamini watam impeach very soon...

naona ile aliesema Obama 'the sands is shifting beneath' ndo hii
 
Hahahaa no body saw this Donald coming...

Sasa tumebaki tunaamini watam impeach very soon...

naona ile aliesema Obama 'the sands is shifting beneath' ndo hii
Hahaaa naona magoli yatazidi kuhamishwa tu.

Mwanzoni Ilikuwa hawezi kugombea...akatangaza nia.

Alipotangaza tukasema hata duru ya kwanza hatavuka....akavuka hadi akapata uteuzi.

Alipopata uteuzi tukasema ma GOP watamtosa katikati ya safari...akachanja mbuga.

Tukahamisha tena magoli tukasema mbele ya Hillary hana kabisa nafasi ya kushinda....unaambiwa eti mpaka mishale ya saa tatu usiku EST ile siku ya uchaguzi bibi na wapambe wake walikuwa wanaamini ushindi ni wao.

Akashinda! Sasa goli limehamishwa tena....imekuwa habari za impeachment.

Nahisi baada ya hapo goli litahamishiwa kwenye assassination kama ndo njia pekee ya kuondokana naye.

İla kama ilivyo ada hata hilo naamini litafeli tu.

Hahahaaaa.....Trump kiboko yao aisee.
 
Hahaaa naona magoli yatazidi kuhamishwa tu.

Mwanzoni Ilikuwa hawezi kugombea...akatangaza nia.

Alipotangaza tukasema hata duru ya kwanza hatavuka....akavuka hadi akapata uteuzi.

Alipopata uteuzi tukasema ma GOP watamtosa katikati ya safari...akachanja mbuga.

Tukahamisha tena magoli tukasema mbele ya Hillary hana kabisa nafasi ya kushinda....unaambiwa eti mpaka mishale ya saa tatu usiku EST ile siku ya uchaguzi bibi na wapambe wake walikuwa wanaamini ushindi ni wao.

Akashinda! Sasa goli limehamishwa tena....imekuwa habari za impeachment.

Nahisi baada ya hapo goli litahamishiwa kwenye assassination kama ndo njia pekee ya kuondokana naye.

İla kama ilivyo ada hata hilo naamini litafeli tu.

Hahahaaaa.....Trump kiboko yao aisee.


Ila watu dizaini hii kawaida huwa wana 'sefl destruction trait'

Naamini atajifunga tu na kufeli by himself....bila mchango wa external force...

Unkumbuka after September 11 hata Bush alikuwa na support kubwa sana
 
Ila watu dizaini hii kawaida huwa wana 'sefl destruction trait'

Naamini atajifunga tu na kufeli by himself....bila mchango wa external force...

Unkumbuka after September 11 hata Bush alikuwa na support kubwa sana
Angekuwa ana hiyo trait sidhani kama angekuwa na mafanikio kama alonayo kwenye biashara zake.

Unakumbuka ni mara ngapi kipindi cha kampeni kuanzia wakati wa primaries hadi kampeni za uchaguzi mkuu watu walimtabiria hiyo self destruction?

Trump watu wanam underestimate sana lakini mimi namwona ni mtu mwenye instincts nzuri. Hiyo ndiyo trait ninayoiona anayo.

Pale unapodhani hapa hachomoki matokeo yake anakuwa wala haathiriki kivile.

I am done predicting doom for him.

He may turn out to be a very successful president, after all....

But only time will tell.
 
Back
Top Bottom