Marekani tena kazi ipo

Marekani tena kazi ipo

Chief Kabikula

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2019
Posts
7,564
Reaction score
9,041
Taifa la Marekani limetoa taarifa ifuatayo, kumbuka kaimu balozi wa Marekani aliitwa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa kimataifa kuhojiwa, one does not have to be a genius to understand this.

IMG_20200529_155139.jpg
 
Hapo anamsema Trump?

Halafu Watanzania km Wewe mkiitwa wajinga utakataa?

Hiyo habari inahusiana vipi na Tanzania Au unawashwa
 
Kunanchi inataka kuzima internet?
 
Tungekuwa na nchi za China na Russia pekee kama zenye nguvu hata mitandao isinge ruhusiwa
 
Ilo liko wazi jiwe pia anataka kuzima internet kwenye uchaguzi! namshauri tu aache hata Kikwete Mwaka 2015 alijaribu kuzima akakwama! Walifanikiwa kuishambulia Jamii Forum kupitia January Makamba na vijana wa IT waliokuwa masaki.
 
Ilo liko wazi jiwe pia anataka kuzima internet kwenye uchaguzi! namshauri tu aache hata Kikwete Mwaka 2015 alijaribu kuzima akakwama! Walifanikiwa kuishambulia Jamii Forum kupitia January Makamba na vijana wa IT waliokuwa masaki.
Hacking haizuiriki mkuu hata USA wanakuwa hacked kila mara tu!
 
Ilo liko wazi jiwe pia anataka kuzima internet kwenye uchaguzi! namshauri tu aache hata Kikwete Mwaka 2015 alijaribu kuzima akakwama! Walifanikiwa kuishambulia Jamii Forum kupitia January Makamba na vijana wa IT waliokuwa masaki.
Noted.
 
Acheni kuweweseka hakuna wa kuzima internet na mtapigwa tatu bila
Ilo liko wazi jiwe pia anataka kuzima internet kwenye uchaguzi! namshauri tu aache hata Kikwete Mwaka 2015 alijaribu kuzima akakwama! Walifanikiwa kuishambulia Jamii Forum kupitia January Makamba na vijana wa IT waliokuwa masaki.
 
Tramp leo asubuhi kanichekesha kweli ati kaandika CHINA tu hahahahaha , huyu mzee banaa
Screenshot_20200529_155647.jpg
 
Taifa la marekani limetoa taarifa ifuatayo ,kumbuka kaimu balozi was marekani aliitwa wizara ya Mambo ya n'nje na ushirikiano wa kimataifa kuhojiwa ,one does not have to be a genius to understand this.View attachment 1462532

Ona sasa unavyo tapa tapa na Fuvu lako lisilo na Akili, Mbona hiyo habari haijataja Tanzania wala hata haihusiani kabisa.
 
Taifa la Marekani limetoa taarifa ifuatayo, kumbuka kaimu balozi wa Marekani aliitwa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa kimataifa kuhojiwa, one does not have to be a genius to understand this.

View attachment 1462532
Madhara ya kukurupuka mkuu,hapa umekurupuka bila kuelewa chochote,umejawa na mihemko ya kisiasa isiyoupa ubongo wako muda wa kutafakari na kujua kipi uandike pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom