Kati ya hizo nchi 10, nchi 7 ni washirika wake. Na hapo bado hujashuka chini top 20, kuna korea kusini n.k kumuangusha US si leo wala kesho.
Huyo china mwenyewe anayeshika namba mbili, kumbuka bidhaa zake zinazomuingizia pesa za kigeni anauza zaidi US na EU.