uislamu wa marekani kwa wamarekani ni tofauti na uislamu huu uliopo hapa afrika na nchi zenye dini zao.
Waislamu wa kule uwezi kuelewa kama ni muislamu yani maisha wanayo ishi waislamu wa kimarekani tena ndio black utakataa kabisa.
Huku kwetu sasa tanzania yani kila mda kanzu utazani kazaliwa saudia.
Wenzetu wamarekani uslamu wake ni amani tu,mda wa kuswali anajitafutia sehemu yake ana swali sio huku yani ni vurugu mpaka wakuone kuwa una swali.
waislamu wa kimarekani uwezi kumuona ana kuchukia hata kama sio dini yake ,ndio maan kipindi cha markom x kulikuwa na waislamu wengi na waliungana na mrtin Luther kupinga ubaguzi na wakaweza.Huku bwana yani waislamu ndio wanaona ndio waliiopata uhuru nchii.
waislamu wa kimarekani mnaishi majirani na mnawekeana mipaka kama hiki usitumie,hiki sawa kama imani tofauti na wote wanaishi bila hata kumtenga mwenzake.Huku bwana yani sheikh yule mwarabu wa mchongo xmass ni haramu.