Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,035
- 12,805
Ha ha ha unafananisha ubora wa US na wale wanaowinda na kuwaua TEMBO WETU WA AFRIKA?!!!!
Ni kweli ndo maana Libya kuna amani baada ya kumuondoa GaddafiTulikuwa tunadangaywa na propaganda za watu wachache kwamba Marekani ni wavuruga amani pamoja na Kuwaita mabeberu lakini bado hawa watu wana huruma sana na Afrika. Misaada mingi wameendelea kutupatia.
Kilichotokea kwenye uchaguzi huu wananchi tumejionea wenyewe viongozi wetu ndio cha amani kupotea.
Marekani wameonesha kutupigania sana tangu kipindi cha kampeni kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa uhuru na haki nadiliki kusema hawa ndio rafiki zetu wa kweli.
Wenzetu hawa wachina wameamua kuharalisha haya yaliyofanyika kwenye uchaguzi huu pamoja na kwamba wananchi tumekuwa wateja wa bidhaa zao hapa naona kuna umuhimu hata kususia bidhaa zao.
Sasa Ukomunisti ni mfumo chanya kwa maisha yanayobadilika kila uchao?!!!Waulize watu wa Cuba na Venezuela kibano wanachopata kutokana na vikwazo vya mabeberu.
Wakiweka economic sanctions wanaoumia ni wanachi sio raisi wala wabungeMarekani ni kama maji, usikunywa utaoga na kutawazia kabisa! Huu ndio ukweli ambao kila mtu anaujua tukatae, kubishe, tuwatukane lakini ukweli mchungu wakuu.... Wakiweka Economic sanctions hapa nchi tutatafutana hii nchi, kuna watu naona wanajifariji na China eti itatusaidia, hivi mnawajua vizuri wachina...!?
😂😂😂Kawape Jicho kabisa
Atuingii bwashee tumeghairi.Hahah mmeghairi kuingia ktk Maandamano??
Jaribuni tu... Muone
Safii hapo nakupongeza sana..Atuingii bwashee tumeghairi.
yale ma Ashork Leyland kila tukiyaangalia tunyaona yanahasira alafu ukiyaona kama yanalia hivi kwa ghadhabu.
Tunamuachia Fatma Karume,Kigogo wa tweeter na Armstadam watamkomesha Magu.Safii hapo nakupongeza sana..
Umetumia Akili
Siku zote mtenda haki huwa hapendwiTulikuwa tunadangaywa na propaganda za watu wachache kwamba Marekani ni wavuruga amani pamoja na Kuwaita Mabeberu lakini bado hawa watu wana huruma sana na Afrika. Misaada mingi wameendelea kutupatia.
Kilichotokea kwenye uchaguzi huu Wananchi tumejionea wenyewe viongozi wetu ndio cha amani kupotea.
Marekani wameonesha kutupigania sana tangu kipindi cha kampeni kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa uhuru na haki nadiliki kusema hawa ndio rafiki zetu wa kweli.
Wenzetu hawa wachina wameamua kuharalisha haya yaliyofanyika kwenye uchaguzi huu pamoja na kwamba wananchi tumekuwa wateja wa bidhaa zao hapa naona kuna umuhimu hata kususia bidhaa zao.
🖕🖕🖕Haikuhusu
Ukichunguza kuna mahali walikosea, marekani hawapigi vikwazo tu holelaWaulize watu wa Cuba na Venezuela kibano wanachopata kutokana na vikwazo vya mabeberu.
Tujiandae kwa vikwazo na misaada kupungua wafadhili hawawezi kutoa misaada kwa nchi ambayo haina democrasia![]()
![]()
![]()
![]()
Ususie bidhaa za mchina?
Huyu Lisu kaharibu akili za vijana