Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,054
- 4,115
Tulikuwa tunadangaywa na propaganda za watu wachache kwamba Marekani ni wavuruga amani pamoja na Kuwaita Mabeberu lakini bado hawa watu wana huruma sana na Afrika. Misaada mingi wameendelea kutupatia.
Kilichotokea kwenye uchaguzi huu Wananchi tumejionea wenyewe viongozi wetu ndio cha amani kupotea.
Marekani wameonesha kutupigania sana tangu kipindi cha kampeni kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa uhuru na haki nadiliki kusema hawa ndio rafiki zetu wa kweli.
Wenzetu hawa wachina wameamua kuharalisha haya yaliyofanyika kwenye uchaguzi huu pamoja na kwamba wananchi tumekuwa wateja wa bidhaa zao hapa naona kuna umuhimu hata kususia bidhaa zao.
Kilichotokea kwenye uchaguzi huu Wananchi tumejionea wenyewe viongozi wetu ndio cha amani kupotea.
Marekani wameonesha kutupigania sana tangu kipindi cha kampeni kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa uhuru na haki nadiliki kusema hawa ndio rafiki zetu wa kweli.
Wenzetu hawa wachina wameamua kuharalisha haya yaliyofanyika kwenye uchaguzi huu pamoja na kwamba wananchi tumekuwa wateja wa bidhaa zao hapa naona kuna umuhimu hata kususia bidhaa zao.