Marekani na Ulaya zasusia rasmi uchaguzi wa marudio Zanzibar

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,943
244,531
Hii imebainika baada ya kutopeleka maombi ya kushiriki kama waangalizi wa kimataifa .

siku ya mwisho ya kupeleka maombi hayo ilikuwa 29 february 2016 ,

mkurugenzi wa mipango wa cuf , omar ally shehe amesema sababu zilizosababisha waangalizi wa kimataifa kupuuza uchaguzi huo ni zile zile zilizosababisha chama chao kutohangaika na uchaguzi huo.

My take , wazungu wakipuuza jambo basi dunia nzima litapuuzwa .
 
Hii imebainika baada ya kutopeleka maombi ya kushiriki kama waangalizi wa kimataifa .

siku ya mwisho ya kupeleka maombi hayo ilikuwa 29 february 2016 ,

mkurugenzi wa mipango wa cuf , omar ally shehe amesema sababu zilizosababisha waangalizi wa kimataifa kupuuza uchaguzi huo ni zile zile zilizosababisha chama chao kutohangaika na uchaguzi huo.

My take , wazungu wakipuuza jambo basi dunia nzima litapuuzwa .
Uchaguzi hauna Kampeni hauna kitu chochote zaidi ya upigaji kura, chama kilichosema kinashiriki ni kimoja waangalizi wa nini?
 
Hamna uchaguzi Zanzibar.Kuna kumpitisha mgombea wa CCM tu.
Uchaguzi hauna ushindani ni wa ninj? huo ni uteuzi wa CCM tu
 
Hii imebainika baada ya kutopeleka maombi ya kushiriki kama waangalizi wa kimataifa .

siku ya mwisho ya kupeleka maombi hayo ilikuwa 29 february 2016 ,

mkurugenzi wa mipango wa cuf , omar ally shehe amesema sababu zilizosababisha waangalizi wa kimataifa kupuuza uchaguzi huo ni zile zile zilizosababisha chama chao kutohangaika na uchaguzi huo.

My take , wazungu wakipuuza jambo basi dunia nzima litapuuzwa .


Who gives a Fvck!
 
Hawashiriki kwakuwa hakuna uchaguzi bali ni igizo la uchaguzi uliofanyika 25 october 2015.
Nilitegemea watanzania tungesainishana petition ya kupinga huu ubakaji unaofanywa na serikali ya ccm kwa nguvu ile ile mliyotumia kupambania swala la Olduvai Geogre dhidi ya manzi ile ya Nai.
 
Back
Top Bottom