SMART PASSENGER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 967
- 1,015
USA will still remain a super power
Fatilia NEWS mkuu. husiogope. Russia wako dunia nyingine kabisa kwenye maswala ya sayansi. siyo ushabiki. Husitegemee CNN na BBC tu
Inastaajabisha kwakweliHapa wengi wataendelea kuamini kuwa kurudishwa kwa F - 35 si kwa sababu ya makosa ya kiufundi yaliyopelekea kuanguka moja hapo juzi kati bali ni kuogopa kutunguliwa na s 300 hivyo kupelekea wateja wao washindwe kuziamini kama zilivyopigiwa debe la kuwa zina uwezo mkubwa wa kutambua mifumo mingine, haya sasa hiyo ni s 300 wanapata shida hivyo ingekuwa s 400 na s 500?.
URUSI INA SILAHA ZA NYUKILIA 8,000 USA WANA 7, 4OO-- MAREKANI WANA HOFU SANA, HASA PALE WALIVYOUISHAMBLIRIA SYRIA MITEGO YA URUSI IVYOTEGUA, JAMAA WALISHTUKA SANA
hahaaSuper powa!
Hahahaaaa
alkuwa namvutia kasi tuKama U. S ana hofu mbna alishambulia mara mbili bila Russia kurespondi?
Unafikiri kwanini usa anaogopa direct conflict na russia? Hiyo s300 peke yake usa kainyooshea mikono. THAAD ya usa ni failureAchani kumapaka poda Russia.zana za Russia ndio ziongoza kwa failure kwenye field kuzidi U.S
In other words, it means that you've failed to substantiate your claim.You know this thing called the internet? Its a very a good source.
I don't have to prove myself to anyone.In other words, it means that you've failed to substantiate your claim.
In other words, you're lying to us in broad daylight!I don't have to prove myself to anyone.
That is your own opinion.In other words, you're lying to us in broad daylight!
Kama nusu ya bajeti anatoa yeye kuna haja gani ya kuwa na NATO?kwa nini asitumie hiyo mi hela yake kutengeneza silaha zake peke yake na kujilinda yeye mwenyewe huko nyumbani kwake?,hao wa Europe kwani wamemuita aje afanye nao Collabo?,je hiyo collabo(NATO ) ni dhidi ya nani? NK au Iran?
1).mimi nakuhakikishia kabisa kuwa Watanzania tunasoma sana,ndio maana tunaweza kujadili mambo kama hivi,usifikiri haya tunayatoa kichwani,ni kusoma tu.Kwenye mambo ya technology, kufanya uchunguzi ni mambo ya kawaida sana labda hamuelewi tu kwa sababu hampendi kusoma na hii ni "The main Achilles Tendon to many Tanzanians"
Kwenye miaka ya 1930s The Nazi Germany walivumbua silaha moja iliyoitwa V-2 Rocket na baadaye kwa kutumia hiyo technology ndio akina Marekani na ile iliyokuwa USSR kwa kufanya "Wizi" nao wakai-develop na ndio ikawa Ballistic Missiles tunazoona leo.
Kama utasoma mambo ya Inventions huwezi kuja humu na hoja za kijinga jinga hizi eti ndio ujione umeanzisha mada.
Sasa Wamarekani walivumbua huu umeme tunaitumia leo, sasa leo hata Russia wanautumia huo umeme hivyo unaweza ukawaponda Russia kisa sio wavumbuzi wa huo umeme japo nao leo wana hiyo teknolojia.
Fikiri kabla hujapost hata kama una mahaba kihivyo na hao Warusi japo wao ni miongoni mwa Racists wakubwa sana especially against the black race, you included.
Kwa hiyo kama Urusi wako Racist,hiyo inaondoa tusiseme ukweli juu ya mambo ya ajabu wanayoyafanya?au inaondoa haki yangu ya kuileta habari hii ya USA na Israel kwenda Ukraine kujifunza nguvu ya S300?Hakuna mwenye technology yote humu duniani kila mmoja kuna anachofahamu zaidi ya mwingine nk.
Swala la Racism in Russia is beyond argument especially against black Africans na hata kwenye mechi za mpira especially Uefa waga tunaona na kama bado unapinga nitakuacha sina haja ya kubishana na wewe.
Wakati wa ukombozi USSR alilazimika kuwasadia waafrika kama njia ya kupambana na the West na pia kujaribu silaha zao lkn sio kwa kuwapenda waafrika na kama waliwapenda kihivyo basi leo wako wapi na hiyo misaada yao?
Hakuna siku mtu mweusi anaweza kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi nchini Russia afadhali hata Pakistan.
Mkuu ze hoja yako haifanani na mada hii.Mkuu nadhani tunakubaliana mimi na wewe kuwa katika uwanja wa mapambano jeshi au nchi yeyote ikipata silaha ya mpinzani kwa nama yeyote ile ikiwa ni pamoja na kuiteka ama kiokota ni halali yao,na hivyo ndivyo walivyofanya Warusi,lakini kwa USA na Israel ni tofauti,wao wamechukuana kwenye ndege hao,hadi Ukraine,kuistudy S300.kwangu mimi hii ni aibu kubwa kwa Supa pawa.Hata Urusi walichukua mabaki ya makombora ya Tomahawk ya Marekani toka Syria na kuyapeleka kwao Russia kuyasoma ili kutoa silaha za kuyadhibiti.
fundi25 lee van cliff
Russia claims it has a US Tomahawk cruise missile and will use it to improve its own weapons