Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,390
- 21,041
Sio movie hiyo 😊😊😊 mtu kifo anakiona hiki hapa 😆Sio muvi za kina James Bond hizi?
Nikajua ni Mbagala Maji Matitu !Habarini za machana
Polisi mjini Las Vegas Marekani wameachia video hii inayomuonesha Mzee mmoja wa miaka 93 akimfyatulia Risasi mara mbili na kumjeruhi Baba mwenye nyumba wake kwa tatizo la kukosa Maji kwenye chumba chake kilichopo kwenye ghorofa la kupangisha maarufu kama apartments.
Polisi walimtia nguvuni na kwa sasa anakabiliwa na shtaka la kujaribu kuua.
View attachment 1315785
Baba mwenye nyumba siasa nyingi babu kaona tumalizane mapema tu.
Ukiwa na mzee kama huyu mamaee nawe lazima uwe na mguu wa kuku anapiga tena anaona raha kabisa ***** walai alafu zenyewe sio mipira
Sent using Jamii Forums mobile app