Marekani: Mpangaji amfyatulia risasi baba mwenye nyumba wake

Super Villain

JF-Expert Member
Jan 2, 2019
9,390
21,038
Habarini za machana

Polisi mjini Las Vegas Marekani wameachia video hii inayomuonesha Mzee mmoja wa miaka 93 akimfyatulia Risasi mara mbili na kumjeruhi Baba mwenye nyumba wake kwa tatizo la kukosa Maji kwenye chumba chake kilichopo kwenye ghorofa la kupangisha maarufu kama apartments.

Polisi walimtia nguvuni na kwa sasa anakabiliwa na shtaka la kujaribu kuua.
 
Habarini za machana

Polisi mjini Las Vegas Marekani wameachia video hii inayomuonesha Mzee mmoja wa miaka 93 akimfyatulia Risasi mara mbili na kumjeruhi Baba mwenye nyumba wake kwa tatizo la kukosa Maji kwenye chumba chake kilichopo kwenye ghorofa la kupangisha maarufu kama apartments.

Polisi walimtia nguvuni na kwa sasa anakabiliwa na shtaka la kujaribu kuua.
View attachment 1315785
Nikajua ni Mbagala Maji Matitu !
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom