SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Wafuasi wake wapo, ndugu zake wapo, sidhani kama watakubali hii iende kimya kimya
Jamani wengine si mmeshasema eti hajafa na CIA na Obama wamecheza usanii tu? Sasa hapa tuwaelewe vipi? Kama hajafa then kwa nini nduguze walipize kisasi?