Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,660
- 46,349
Kwa wale wanaoamini ugaidi sehemu yoyote duniani huwa umeanzishwa na Marekani, Je sababu hasa za msingi za Marekani kufanya hivyo huwa ni zipi?
Marekani inanufaikaje na makundi mbalimbali ya ugaidi duniani yanayoua, kuteka meli na raia wake kwa ajili ya ransom?
Ni wakati gani hasa Marekani huwa inaamua kuanzisha kundi la ugaidi kama nyenzo na njia pekee ya kuwezesha maslahi yake?
Kwa nini America ya Kaskazini, Kusini/Latin America, Ulaya na nchi nyingi za mashariki ya mbali hakuna makundi ya ugaidi??
Marekani inanufaikaje na makundi mbalimbali ya ugaidi duniani yanayoua, kuteka meli na raia wake kwa ajili ya ransom?
Ni wakati gani hasa Marekani huwa inaamua kuanzisha kundi la ugaidi kama nyenzo na njia pekee ya kuwezesha maslahi yake?
Kwa nini America ya Kaskazini, Kusini/Latin America, Ulaya na nchi nyingi za mashariki ya mbali hakuna makundi ya ugaidi??