Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,653
- 16,005
Bunge la Yemen leo limepitisha rasmi kuwa sheria na kutambua serikali za Uingereza na Marekani kama mtandao wa ugaidi duniani.
Hii maana yake ni kwamba kuanzia leo Uingereza na marekani ni maadui wa Yemen kisheria na kwamba kwa namna yeyote ile wanapokutana ni mapambano tu.
Hii maana yake ni kwamba kuanzia leo Uingereza na marekani ni maadui wa Yemen kisheria na kwamba kwa namna yeyote ile wanapokutana ni mapambano tu.