Marekani imetenga dola billion 674 kama bajeti ya jeshi 2018/2019

Budget yetu nzima ya miaka kama 20 hivi. Ukitaka kujua tuko nyuma angalia vitu kama hivi, alafu tunajifanya kuleta kiburi badala ya kuiga tunakaa tunaiga Uganda na Zimbabwe.
Lkn huwezi kulinganisha nchi kubwa kama ile na nchi kama zetu....kumbuka kuna states kama 52 pale...karibu kila state ni nchi kabisa yenye vituo vya kijeshi, wanajeshi wanaohudumia na mambo mengine chungu nzima..bado kambi zao zilizopo nje ya nchi na vituo vidogo vidogo karibu 400...hivyo budget yao inaakisi wala hamna cha ajabu hapo....
Yaani hiyo ni budget ya mataifa 50 kwa ujumla wake....
Labda na sisi tungalikua na United States of Africa tungeweza kujilinganisha nao....
 
Taifa lenye nguvu na ubabe dunia U,S A limetenga bajeti kwa ajili ya Jeshi kiasi cha dola billion 674 ambazo ni sawa na zaidi ya Trillion 148 kwa pesa ya kitanzania ambazo ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa zaidi miaka 7..pesa hizo zitajikita zaidi kuboresha vifaa vya kijeshi na kivita kama ndege za kivita,manowari na siraha mbalimbali.hivyo kulifanya jeshi LA marekani kuwa lenye silaha za kisasa zaidi kuliko nchi yeyote duniani.
Marekani ndio nchi ya kwanza kwa jeshi lenye nguvu zaidi duniani ikifuatiwa na urussi baada ya hapo China inafuata
Pia ni nchi yenye bajeti ya jeshi kubwa zaidi duniani.View attachment 872762
Dola bilion 674 ni sawa na shilingi trilioni 1480 sawa na bajet ya tanzania ya miaka 50
 
Pesa si techno pengine warabu wangeongoza, sehem kubwa ya hiyo Pesa inatumika kununulia ubwabwa magaidi Russia is very curiu
 
Lkn huwezi kulinganisha nchi kubwa kama ile na nchi kama zetu....kumbuka kuna states kama 52 pale...karibu kila state ni nchi kabisa yenye vituo vya kijeshi, wanajeshi wanaohudumia na mambo mengine chungu nzima..bado kambi zao zilizopo nje ya nchi na vituo vidogo vidogo karibu 400...hivyo budget yao inaakisi wala hamna cha ajabu hapo....
Yaani hiyo ni budget ya mataifa 50 kwa ujumla wake....
Labda na sisi tungalikua na United States of Africa tungeweza kujilinganisha nao....

Mataifa ya Afrika jinsi tulivyo hata kama tungekua na United States of Africa badi tungekua masikini, umezunguka Afrika kweli ukajionea mambo yalivyo? Sehemu karibia zote hazina tofauti na bongo, kote kumechoka, kote ovyo, watu lazy, badala ya kufanya kazi wanakesha makanisani kuimba wakisubiri neema irudi. Tofauti ya nchi zilizoendelea na Tanzania ni kubwa mno inatia aibu. Kuanzia mindset ya watu ni tofauti kabisa, watu wanawaza maendeleo, nimerudi bongo kila mtu nashangaa badala ya kuniambia mambo ya maendeleo anakaa anasema mungu ataniletea, nikajua moja kwa moja tatizo la wabongo, too lazy.
 
Taifa lenye nguvu na ubabe dunia U,S A limetenga bajeti kwa ajili ya Jeshi kiasi cha dola billion 674 ambazo ni sawa na zaidi ya Trillion 148 kwa pesa ya kitanzania ambazo ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa zaidi miaka 7..pesa hizo zitajikita zaidi kuboresha vifaa vya kijeshi na kivita kama ndege za kivita,manowari na siraha mbalimbali.hivyo kulifanya jeshi LA marekani kuwa lenye silaha za kisasa zaidi kuliko nchi yeyote duniani.
Marekani ndio nchi ya kwanza kwa jeshi lenye nguvu zaidi duniani ikifuatiwa na urussi baada ya hapo China inafuata
Pia ni nchi yenye bajeti ya jeshi kubwa zaidi duniani.View attachment 872762


Umekosea hesabu kijana, hiyo pesa ukiconvert kuja hela zetu za kibongobongo ni Zaidi ya trillion 1,500 za kwetu yaani ukiwa na trilioni trilioni basi inabidi zifike elfu moja na mia tano na hamsini( Its 1,550,200,000,000,000 TZS)
 
Umekosea hesabu kijana, hiyo pesa ukiconvert kuja hela zetu za kibongobongo ni Zaidi ya trillion 1,500 za kwetu yaani ukiwa na trilioni trilioni basi inabidi zifike elfu moja na mia tano na hamsini( Its 1,550,200,000,000,000 TZS)
Duu hapo calculator lazima izime,pesa ndefu sana
 
Hii ndio nchi ya binadamu kuishi.

Sio hii Shithole ya JIWE na genge lake la wahuni.
USA wana utaratibu wa kutoa uraia kirahisi sana, hii comment yako ni application tosha ya uraia; kwamba uwezo wa akili yako ni mdogo kuliko RAIA yeyote wa nchi changa, jaribu ku-apply somalia utawafaa sana
 
itatuchukua millennium
kadhaa kuwa Kama USA
daaaaaah sijui tulikosea wap
😥😥😪😪
 
Taifa lenye nguvu na ubabe dunia U,S A limetenga bajeti kwa ajili ya Jeshi kiasi cha dola billion 674 ambazo ni sawa na zaidi ya Trillion 148 kwa pesa ya kitanzania ambazo ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa zaidi miaka 7..pesa hizo zitajikita zaidi kuboresha vifaa vya kijeshi na kivita kama ndege za kivita,manowari na siraha mbalimbali.hivyo kulifanya jeshi LA marekani kuwa lenye silaha za kisasa zaidi kuliko nchi yeyote duniani.
Marekani ndio nchi ya kwanza kwa jeshi lenye nguvu zaidi duniani ikifuatiwa na urussi baada ya hapo China inafuata
Pia ni nchi yenye bajeti ya jeshi kubwa zaidi duniani.View attachment 872762
Sio tillion 148 ni quadrillioyn 1.4 sawa na tillioni 148*1000 ni zaidi ya miaka 7000
 
Taifa lenye nguvu na ubabe dunia U,S A limetenga bajeti kwa ajili ya Jeshi kiasi cha dola billion 674 ambazo ni sawa na zaidi ya Trillion 148 kwa pesa ya kitanzania ambazo ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa zaidi miaka 7..pesa hizo zitajikita zaidi kuboresha vifaa vya kijeshi na kivita kama ndege za kivita,manowari na siraha mbalimbali.hivyo kulifanya jeshi LA marekani kuwa lenye silaha za kisasa zaidi kuliko nchi yeyote duniani.
Marekani ndio nchi ya kwanza kwa jeshi lenye nguvu zaidi duniani ikifuatiwa na urussi baada ya hapo China inafuata
Pia ni nchi yenye bajeti ya jeshi kubwa zaidi duniani.View attachment 872762
Wewe utakuwa hkl aisei...!

Fikiria kila dola billion 1 sawa trion 2.3 za kibongo.

Chukua 674$billion ×2.2Tsh trions=
 
Mbona post iko wazi kabisa nimesema katika tafiti za kijeshi za taasisi mbalimbli jeshi LA marekani ndio lenye nguvu zaidi duniani likifuatiwa na Russia then China.
Wanapoangalia nguvu za kijeshi wanaangalia bajeti,idadi ya wanajeshi,idadi ya vifaa vya kijeshi kama ndege vita,nyambizi,n.k,
Kama ni wanaangalia idadi ya wanajeshi pia basi india ya kwanza
 
Back
Top Bottom