Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,099
- 2,403
Nilikuwa naangalia Al-Jazeera nikaona mahojiano ya John Mearsheimer (msomi maarufu wa siasa za kimataifa)
Anasema , mashambulizi ya anga pekee haijawahi kufanikisha kufsnya regime change katika historia.
Ili kubadilisha serikali ya Iran, lazima kuwe na askari ardhini (boots on the ground) kama ilivyofanyika Iraq. mashambulizi ya anga yanaweza kuondoa viongozi wakuu lakini bado mfumo wa serikali kuubaki imara .
Pia vita hii Inaifaidisha Urusi kwa sababu:
Inasababisha mgogoro wa mafuta ,bei inapanda na Urusi anauza mafuta kwa bei kubwa
Inaifanya sanctions za Marekani zisiwe na nguvu na ,pia inapunguza uwezo wa Marekani kutuma silaha Ukraine
Na China nae anafaidika kwa sababu:
Inaongeza ushawishi wake Mashariki ya Kati
Inaonekana kama nchi yenye busara ukilinganisha na Marekani
Pia anasema:
Marekani haina akiba ya silaha za kisasa za kutosha kwa vita ndefu Kiongozi wa jeshi (Chairman of Joint Chiefs) alimshauri Donald Trump kuwa:
"Vita ndefu na Iran inaweza kuiweka Marekani kwenye matatizo makubwa"
Lakini kuna watu kwa mapenzi yao na Marekani ukiwaambia Marekani anapoteza hii vita wanakuona wa ajabu ,wanaona ukubwa wa jeshi la Marekani, wanahitimisha moja kwa moja USA anaweza kushinda vita yeyote kwa muda mfupi,Lakini kwenye siasa za vita, mambo si rahisi hivyo.
Ni ukweli United States ina jeshi lenye nguvu zaidi duniani si kuliko Iran pekee almost dunia nzima lakini kama nilivyosema mambo sio mepesi hivyo
Hata historia inaonyesha wazi
Vietnam War Marekani ilikuwa na nguvu kubwa sana lakini ilishindwa
Afghanistan
Marekani + NATO walikaa miaka 20 mwisho wakaondoka bila ushindi
Vita si ukubwa wa jeshi , ni strategy na mazingira
Kijiografia Iran ina milima mingi ina mazingira magumu kwa kuvamia na askari wa ardhini
Lengo la vita linaamua mshindi nani, kama lengo ni kufanya mashambulizi Marekani anaweza,Lakini kama ni kufanya regime change hio kitu ni ngumu
Anasema , mashambulizi ya anga pekee haijawahi kufanikisha kufsnya regime change katika historia.
Ili kubadilisha serikali ya Iran, lazima kuwe na askari ardhini (boots on the ground) kama ilivyofanyika Iraq. mashambulizi ya anga yanaweza kuondoa viongozi wakuu lakini bado mfumo wa serikali kuubaki imara .
Pia vita hii Inaifaidisha Urusi kwa sababu:
Inasababisha mgogoro wa mafuta ,bei inapanda na Urusi anauza mafuta kwa bei kubwa
Inaifanya sanctions za Marekani zisiwe na nguvu na ,pia inapunguza uwezo wa Marekani kutuma silaha Ukraine
Na China nae anafaidika kwa sababu:
Inaongeza ushawishi wake Mashariki ya Kati
Inaonekana kama nchi yenye busara ukilinganisha na Marekani
Pia anasema:
Marekani haina akiba ya silaha za kisasa za kutosha kwa vita ndefu Kiongozi wa jeshi (Chairman of Joint Chiefs) alimshauri Donald Trump kuwa:
"Vita ndefu na Iran inaweza kuiweka Marekani kwenye matatizo makubwa"
Lakini kuna watu kwa mapenzi yao na Marekani ukiwaambia Marekani anapoteza hii vita wanakuona wa ajabu ,wanaona ukubwa wa jeshi la Marekani, wanahitimisha moja kwa moja USA anaweza kushinda vita yeyote kwa muda mfupi,Lakini kwenye siasa za vita, mambo si rahisi hivyo.
Ni ukweli United States ina jeshi lenye nguvu zaidi duniani si kuliko Iran pekee almost dunia nzima lakini kama nilivyosema mambo sio mepesi hivyo
Hata historia inaonyesha wazi
Vietnam War Marekani ilikuwa na nguvu kubwa sana lakini ilishindwa
Afghanistan
Marekani + NATO walikaa miaka 20 mwisho wakaondoka bila ushindi
Vita si ukubwa wa jeshi , ni strategy na mazingira
Kijiografia Iran ina milima mingi ina mazingira magumu kwa kuvamia na askari wa ardhini
Lengo la vita linaamua mshindi nani, kama lengo ni kufanya mashambulizi Marekani anaweza,Lakini kama ni kufanya regime change hio kitu ni ngumu