Iran ni mtoto mbele ya US kama alivyokuwa Daudi mbele ya Goliath.Yaani ukishakuwa na akili za kupiga kichwa chini hadi sugu linatokeza ktk paji la uso ujue ww ni fa.la kabisa, ndio ufala huo unaweza sema US haina uwezo wa kuishambulia Iran kijeshi..!! Ni fa.la tu ndio hajui Nguvu za kijeshi za US zikoje alafu anaandika upuuzi kama huu.. Iran ni kijitoto kidogo sana sanaa mbele ya US..