kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Marekani inajiandaa kuishambulia Iran wakati wowote kutokea sasa
Kuna taarifa zinaenea sana, na ni kutoka kwa watu nyeti wa Washington kuwa Marekani inajiandaa kuishambulia Iran kijeshi muda wowote kutokea sasa
Marekani imepeleka maelfu ya silaha na wanajeshi wengi wameanza kuandaliwa huku meli za kivita za Marekani zikiwa tayari kwa mashambulizi
Haya yanajiri huku Korea ya kaskazini ikitangaza kuwa itawapa Iran, Hamas na wapiganaji wote wanaoipinga US na Israel mashariki ya kati kwa silaha za kutosha
Marekani inaufahamu uwezo wa Iran ni mkubwa kupita maelezo Iran hamiliki silaha za kawaida pekee bali inasemekana kuwa Iran anazo silaha za maangamizi na kemikali matani kwa matani ila kwa siri sana
Pia inawezekana kabisa kuwa Iran ana silaha za Nyuklia ndo hivyo tu anatuzuga!!
Ngoja tuone kama hizi tetesi kama zitakua ni za kweli
Kuna taarifa zinaenea sana, na ni kutoka kwa watu nyeti wa Washington kuwa Marekani inajiandaa kuishambulia Iran kijeshi muda wowote kutokea sasa
Marekani imepeleka maelfu ya silaha na wanajeshi wengi wameanza kuandaliwa huku meli za kivita za Marekani zikiwa tayari kwa mashambulizi
Haya yanajiri huku Korea ya kaskazini ikitangaza kuwa itawapa Iran, Hamas na wapiganaji wote wanaoipinga US na Israel mashariki ya kati kwa silaha za kutosha
Marekani inaufahamu uwezo wa Iran ni mkubwa kupita maelezo Iran hamiliki silaha za kawaida pekee bali inasemekana kuwa Iran anazo silaha za maangamizi na kemikali matani kwa matani ila kwa siri sana
Pia inawezekana kabisa kuwa Iran ana silaha za Nyuklia ndo hivyo tu anatuzuga!!
Ngoja tuone kama hizi tetesi kama zitakua ni za kweli