Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Mgombea Urais wa Marekani amevunja rekodi iliyoshikiliwa na aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kwa kupata kura milioni 70.
Rais Barack Obama alipata kura 69,498,516 zilizoweza kumuweka madarakani mwaka 2008 kwa kuwa aliweza kuwa na 52.93% dhidi ya mpinzani wake.
Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 Joe Biden amepata kura 69,512,303 ambayo ni 50.1% dhidi ya mpinzani wake, Donald Trump.
Rais Barack Obama alipata kura 69,498,516 zilizoweza kumuweka madarakani mwaka 2008 kwa kuwa aliweza kuwa na 52.93% dhidi ya mpinzani wake.
Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 Joe Biden amepata kura 69,512,303 ambayo ni 50.1% dhidi ya mpinzani wake, Donald Trump.