marefa kugomea mechi za chelsea

marefa kugomea mechi za chelsea

Mkuu rombo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
1,556
Reaction score
422
habari wana jf

habari nilizozipata hivi punde kunauwezekano marefa wakagomea mechi zote za chelsea ligi kuu ya england sasa hapasijui itakuwaje

redio ya mkulima kutoka mkuu rombo
source bbc salim kikeke na chals hilari
 
Hawana ubavu huo.
 
.....FA siyo kama TFF ya bongo, yatapita hayo.
 
Mkuu funguka mazima.

mkuuu nilikuwa nasikiza redio tanzania kwenye redio yangu nikamsikia chals hilali akizungumzia hili swala alidai nanukuu kumekuwa na tetesi marefa wakagomea kuchezesha mechi za chelsea mwisho wa kunukuu
 
Yaani labda nako siasa iingie kwenye mpira ndy nitaamini.
 
Pumbafu kabisa hawa marefa..wanapendelea litimu la man utd afu wanatishia kugoma..na wagome si njaa zao ndo zinawafanya wawe marefa
 
hamna kitu kama hicho..tatizo chelsea wanaonea sana marefa, kuna refa mmoja walimfanyizia mpaka akastaafu kuchezesha mpira..hawajamaa noma, sioni tofauti ya chelsea na simba...zote timu mbovu timu za majivuno timu zinajidai zinajua mpira lakini ni uozo mtupu....
 
Pumbafu kabisa hawa marefa..wanapendelea litimu la man utd afu wanatishia kugoma..na wagome si njaa zao ndo zinawafanya wawe marefa

ulaya akuna njaaa mkuu njaa ipo africa na tz
 
Back
Top Bottom