Elections 2010 Marcussy Mgweno Kugombea Mvomero CCM

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
attachment.php



Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro anaetoka Maeneo ya Turiani Bw Marcussy Mgweno (pichani) Ametangaza nia ya kuomba ridhaa ya wananchio wa Jimbo la Uchaguzi la Mvomero kuchagua awe mwakilishi wao Bungeni katika uchaguzi Mkuu utkao fanyika baadae Mwaka huu.
 
Huyu sio mzawa wala mkulima anayejua maisha tunayoishi angalia nyuma ya hiyo picha anatuonesha kuwa ana magari mengi huyu hatajua shida za watanzania wa muvomero
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom