Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro anaetoka Maeneo ya Turiani Bw Marcussy Mgweno (pichani) Ametangaza nia ya kuomba ridhaa ya wananchio wa Jimbo la Uchaguzi la Mvomero kuchagua awe mwakilishi wao Bungeni katika uchaguzi Mkuu utkao fanyika baadae Mwaka huu.