Kunautafiti niliufanya wiki nzima apa kyela, ila wananchi wameupokea kwa mikono miwili ujio wa mama joi make wameichoka ccm sana, wanadai ccm 2015 ikirudi madarakani wao wapo tiyari kwenda kumwomba mama joi aichukue kyela kwa nguvu,.
Nimegundua ukitaka kueneza propaganda fasta hapa Tanzania tumia professor(wasomi) maana hao huwa hoja zao hazipingwi. Think for yourself. Don't be a slave of a public opinion
Na ndio maana CCM kwenye propaganda zake ikagundua mapema kumtumia nani vileeee? Prof sijui Dr. Bana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.