Marco Rubio atoa neno kuhusu Iran!!!!!

Marco Rubio atoa neno kuhusu Iran!!!!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,162
Reaction score
6,210
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio alitetea shambulio hilo dhidi ya Iran, akisema ilikuwa muhimu kuizuia serikali hiyo kusonga mbele kuelekea silaha za nyuklia.

"Katika hali yoyote ile nchi inayoongozwa na viongozi wa kidini wa Kishia wenye msimamo mkali... haiwezi kumiliki silaha za nyuklia."

Rubio alisema Iran ilikuwa ikijenga "ngao" ya makombora na ndege zisizo na rubani ili kulinda mpango wake wa nyuklia, akionya kwamba dunia ilikuwa inakaribia hatua ambapo "hakuna mtu anayeweza kufanya chochote kuihusu."

"Hii ilikuwa nafasi yetu ya MWISHO bora... rais alifanya uamuzi sahihi wa kuiangamiza sasa."


View: https://t.me/ILTVnews/7613
 
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio alitetea shambulio hilo dhidi ya Iran, akisema ilikuwa muhimu kuizuia serikali hiyo kusonga mbele kuelekea silaha za nyuklia.

"Katika hali yoyote ile nchi inayoongozwa na viongozi wa kidini wa Kishia wenye msimamo mkali... haiwezi kumiliki silaha za nyuklia."

Rubio alisema Iran ilikuwa ikijenga "ngao" ya makombora na ndege zisizo na rubani ili kulinda mpango wake wa nyuklia, akionya kwamba dunia ilikuwa inakaribia hatua ambapo "hakuna mtu anayeweza kufanya chochote kuihusu."

"Hii ilikuwa nafasi yetu ya MWISHO bora... rais alifanya uamuzi sahihi wa kuiangamiza sasa."


View: https://t.me/ILTVnews/7613

Alafu Kuna waarabu Koko wanasema hawajui sababu za USA kushambulia Iran
 
Iran ina haki zote za kuwa na silaha za aina yoyote ile.

Nani aliipa ruhusa Marekani kuwa na silaha za nyuklia?

Marekani ndo taifa haribifu kabisa hapa duniani kushinda mataifa yote.

Na kama kuna taifa ambalo halipaswi kabisa kuwa na silaha za aina yoyote ile, basi taifa hilo ni Marekani.
Lakini unaishi Marekani bado huo ndio utofauti na Iran
 
Iran ina haki zote za kuwa na silaha za aina yoyote ile.

Nani aliipa ruhusa Marekani kuwa na silaha za nyuklia?

Marekani ndo taifa haribifu kabisa hapa duniani kushinda mataifa yote.

Na kama kuna taifa ambalo halipaswi kabisa kuwa na silaha za aina yoyote ile, basi taifa hilo ni Marekani.
Kwa nini?
 
Lakini pia izrael nadhani ataanza kuogopa vita mana safari hii ameguswa kunako sehemu mbaya mno.
Wewe wasema Israel kama Israel ni watu wa vita hawajaanza leo walianza toka enzi za Farao, Hata Hitler naye alisema hivyo hivyo kuwa amewagusa sehemu mbaya mno matokeo yake hadi leo wapo na wanaendelea!!
.
Kipindi cha farao,Hitler na wengine wengi Israel hawakuwa na Jeshi kumbuka!!

Jiulize mwenyewe sasa wana IDF mambo yatakuwaje? Jibu bila shaka unalo!!
 
Wewe wasema Israel kama Israel ni watu wa vita hawajaanza leo walianza toka enzi za Farao, Hata Hitler naye alisema hivyo hivyo kuwa amewagusa sehemu mbaya mno matokeo yake hadi leo wapo na wanaendelea!!
.
Kipindi cha farao,Hitler na wengine wengi Israel hawakuwa na Jeshi kumbuka!!

Jiulize mwenyewe sasa wana IDF mambo yatakuwaje? Jibu bila shaka unalo!!
Wee nawe nilijua unajielewa kumbe puuzi moja. Hao waizrael wazayoni sio wale wa enzi za musa na farao. Hao hawana Mungu hao wana lusifa moenda ushoga
 
Wee nawe nilijua unajielewa kumbe puuzi moja. Hao waizrael wazayoni sio wale wa enzi za musa na farao. Hao hawana Mungu hao wana lusifa moenda ushoga
Una ushahidi kudhibitisha upumbavu wako huo?

Au ndivyo mnavyodanganyana kwenye Madrasa yenu?
 
Iran ina haki zote za kuwa na silaha za aina yoyote ile.

Nani aliipa ruhusa Marekani kuwa na silaha za nyuklia?

Marekani ndo taifa haribifu kabisa hapa duniani kushinda mataifa yote.

Na kama kuna taifa ambalo halipaswi kabisa kuwa na silaha za aina yoyote ile, basi taifa hilo ni Marekani.
hivi wale jamaa walivyo na imani ya ajabu wakimiliki nyuklia au wakawa super power unafikiri dunia itakuaje?
Mfano mzuri sikiliza kauli za viongozi wao wa dini kauli wanazozitoa dhidi ya wasiokuwa wa imani yao
 
hivi wale jamaa walivyo na imani ya ajabu wakimiliki nyuklia au wakawa super power unafikiri dunia itakuaje?
Mfano mzuri sikiliza kauli za viongozi wao wa dini kauli wanazozitoa dhidi ya wasiokuwa wa imani yao
Iran haijawahi kuanzisha vita hata moja!

Iran haijawahi kuua [assassination] viongozi wa mataifa mengine.

Iran haijawahi kuvamia nchi nyingine na kumteka kiongozi wake.

Iran haijawahi kutumia mabomu ya nyuklia popote pale.

Sasa jiulize, Marekani haijawahi kufanya yote hayo?
 
Iran ina haki zote za kuwa na silaha za aina yoyote ile.

Nani aliipa ruhusa Marekani kuwa na silaha za nyuklia?

Marekani ndo taifa haribifu kabisa hapa duniani kushinda mataifa yote.

Na kama kuna taifa ambalo halipaswi kabisa kuwa na silaha za aina yoyote ile, basi taifa hilo ni Marekani.
hivi wale jamaa walivyo na imani ya ajabu wakimiliki nyuklia au wakawa super power unafikiri dunia itakuaje?
Mfano mzuri sikiliza kauli za viongozi wao wa dini kauli wanazozitoa dhidi ya wasiokuwa wa ima
Iran haijawahi kuanzisha vita hata moja!

Iran haijawahi kuua [assassination] viongozi wa mataifa mengine.

Iran haijawahi kuvamia nchi nyingine na kumteka kiongozi wake.

Iran haijawahi kutumia mabomu ya nyuklia popote pale.

Sasa jiulize, Marekani haijawahi kufanya yote hayo?
Wale hesbollah, hamas na makundi ya aina hiyo huoni wanachokifanya?
Na mfadhili wao mkubwa unajua ni nani
 
hivi wale jamaa walivyo na imani ya ajabu wakimiliki nyuklia au wakawa super power unafikiri dunia itakuaje?
Mfano mzuri sikiliza kauli za viongozi wao wa dini kauli wanazozitoa dhidi ya wasiokuwa wa ima

Wale hesbollah, hamas na makundi ya aina hiyo huoni wanachokifanya?
Na mfadhili wao mkubwa unajua ni nani
Marekani inaifadhili Israel.

Marekani ndo waliokuwa wanamfadhili Saddam Hussein kabla hawajamgeuka.

Marekani ndo walimfadhili Osama Bin Laden kabla hawajamgeuka.

Marekani ndo inataka kuivamia Cuba na kuipindua serikali iliyopo madarakani.

Marekani inataka kuivamia na kuiteka Greenland.

CIA ya Marekani ndo ilihusika na kumuua Patrice Lumumba.

Marekani ilikuwa inamfadhili Jonas Savimbi wa Angola.

Marekani ndo ilijiingiza kwenye vita vya Vietnam na kuua watu zaidi ya milioni moja.

Marekani ndo nchi pekee ambayo imewahi kuyatumia mabomu ya nyuklia.

Sasa wewe hoja yako ni nini hapa? Unachokitea ni kipi?
 
Back
Top Bottom