Marais watakaohudhuria sherehe za Uhuru ni Mugabe, Nkurunziza, Kabila, Museveni, Kagame...

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
875
615


Marais mbalimbali kutoka nchi za Afrika wanatarajiwa kuhudhuria maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru kufutia mwaliko waliopewa na mwenyeji wao Rais Dkt Magufuli.
  1. Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe,
  2. Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),
  3. Rais Yoweri Museveni wa Uganda,
  4. Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi,
  5. Rais Paul Kagame wa Rwanda,
  6. Rais Edgar Lungu wa Zambia,
  7. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na
  8. Rais Denis Sassou Nguesso wa Congo Brazzaville.
 
Birds of the same wings fly together/nionyeshe marafiki zako niijue tabia yako
 
Kitafanyika lkikao cha madikteta wa africa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…