MP CHACHANDU
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 875
- 615
Namba 5PK hatokuwepo?
Namba 3M7 vp?
Trump hawezi kukaa na Mzee Mugabe jukwaa moja.Kitanuka!mbona simuoni TRUMP kwa hiyo list? kwa nini wasimwalike.
ha ha ha haHapo kakosekana yule wa South Sudan list ikamilike.
serikali haikuleta magonjwaSiku kuu ifutwe watu tuokoe pesa za kununulia madawa hospitalini
Birds of the same wings fly together/nionyeshe marafiki zako niijue tabia yakoView attachment 443917
Marais mbalimbali kutoka nchi za Afrika wanatarajiwa kuhudhuria maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru kufutia mwaliko waliopewa na mwenyeji wao Rais Dkt Magufuli.
- Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe,
- Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),
- Rais Yoweri Museveni wa Uganda,
- Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi,
- Rais Paul Kagame wa Rwanda,
- Rais Edgar Lungu wa Zambia,
- Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na
- Rais Denis Sassou Nguesso wa Congo Brazzaville.
Kitafanyika lkikao cha madikteta wa africaView attachment 443917
Marais mbalimbali kutoka nchi za Afrika wanatarajiwa kuhudhuria maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru kufutia mwaliko waliopewa na mwenyeji wao Rais Dkt Magufuli.
- Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe,
- Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),
- Rais Yoweri Museveni wa Uganda,
- Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi,
- Rais Paul Kagame wa Rwanda,
- Rais Edgar Lungu wa Zambia,
- Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na
- Rais Denis Sassou Nguesso wa Congo Brazzaville.