mrskhoory
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 220
- 112
December mbali sana bana...........alafu sitakuwepo.........njoo mwezi huu.........
uwiii.. this month nitakua dar kikazi mae.. naondoka kesho dear. mpaka dec ndo nitarudi huku then nichukue leave
Haya.........nitakusubiri..........
am a girl miaka 25 naishi Arusha. Natafuta rafiki hapa arusha ambaye anahitaji company kama mimi...nmejifungia ndani mpaka nahisi kuwa chizi...i need to get out ther but sina mwenyeji...
Sio mtu wa starehe bt napenda kuwa happy...n am single too so guys karibuni..who knows🙂
He!....jiji lote hili la mamilionea huna kampani........?.......hebu njoo hapa. Escape 2........tunyonye sangria taratibu..........tudiskasi mswada wako huo wa kukaa ndani kama utumbo..........
hapo mwishoni mkuu umenivunja mbavu
Afu ujue Preta,baada ya kukusoma hapa nimepata mshawasha na wewe,sasa kazi kwako,maana nimefikia hapa Coyote Apartments na sina mwenyeji hapa Arachuga,nataka unijibu ili tupange jinsi gani utanipeleka kwa mama Martina na Josephine.He!....jiji lote hili la mamilionea huna kampani........?.......hebu njoo hapa. Escape 2........tunyonye sangria taratibu..........tudiskasi mswada wako huo wa kukaa ndani kama utumbo..........
Afu ujue Preta,baada ya kukusoma hapa nimepata mshawasha na wewe,sasa kazi kwako,maana nimefikia hapa Coyote Apartments na sina mwenyeji hapa Arachuga,nataka unijibu ili tupange jinsi gani utanipeleka kwa mama Martina na Josephine.
Asante,acha nijipange basi,nasikia kuna wakabaji Arachuga au vipi?Ha ha upo Coyote (koyoriii)......?.....katikati ya mji sio eeeh......basi pandisha juu kama unaenda msikitini......kabla hujavuka barabara kula kulia......baada ya ghorofa nyumba ya pili......