Marafiki na Mahusiano

Marafiki na Mahusiano

kweli rafiki. Mana saa nyingine mtu anaweza anzisha varangati kumbe hakuna lolote.


Shem,

Ila siyo kwangu, kwangu pako salama salimini.

Ndiyo maana basi, kila wakati huwa
Nashukuru mkoa wa Tanga , kuwa Tanzania.

Nawe pia, kwa kumlea vizuri Mdogo wako.
 
Shem,

Ila siyo kwangu, kwangu pako salama salimini.

Ndiyo maana basi, kila wakati huwa
Nashukuru mkoa wa Tanga , kuwa Tanzania.

Nawe pia, kwa kumlea vizuri Mdogo wako.

Ooh. Hapo sawa shemeji yangu mana nilikuwa naenda kimya kimya nipate picha halisi.

Usijali kwa mdogo wangu pale labda tabu uwe nazo wewe mana hata huo muda wa kumpa mtu nafasi amsifie mwenyewe hana.
 
Ooh. Hapo sawa shemeji yangu mana nilikuwa naenda kimya kimya nipate picha halisi.

Usijali kwa mdogo wangu pale labda tabu uwe nazo wewe mana hata huo muda wa kumpa mtu nafasi amsifie mwenyewe hana.


Kweli, kabisa Shem.
Yupo vizuri sana.
 
Mbna hakuna tatzo kwa mm yan.... Coz kam alishaga mla ni sawa tu, ilikua kpnd wapo nae.... Ila kwasasa npo nae mie bs maisha yanasonga! Yanini nianze kujipa stress kisa alishamegwaga!?.... Tena uckute walommega co yy tu bali wapo nyomi,
Kikubwa ni kwamba kwangu mwanamke uyo ameona amefika then tunadonga mbele bila stress yan... Ivo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutamani ni jambo moja na kutenda ni jambo lingine...

Mimi binafsi nikiwa na mahondaw wangu... My friends do tell me.. Daah Smart911 shemji ni mzuri na mtamu...

I take it positive sababu najichukulia daah kumbe nina mwanamke kifaa... Mpaka watu wanamtolea macho...


Cc: mahondaw
 
Kwanza, lazima upime maneno ya kumtamkia rafiki yako juu ya mke wake, pili siku hizi kuna misemo mingi kwa vijana yenye maana tofauti.
-mkeo mzuri : hii haina shida saana yawezekana akawa anamzungumzia muonekano wa sura. Wa shemeji yake.
- mkeo mtamu : hii nayo imegawanyika yawezekana (kaonja) au usemi wa mjini jamaa anasifia muonekano wa maungo kwa nje na jinsi anavyotembea.
 
Haaaaaa haaaaaa haaaaaa teeeh, teeeh,
Sasa, mkuu, kosa lako umemtaja marafiki zako, ndiyo watamtafuta rasmi ili wamuone .
Hata wakimtafuta haina kwere maana anajitambua and I real acknowledge her
 
Back
Top Bottom