Marafiki msiojikubali acheni hizooo sio poa

Marafiki msiojikubali acheni hizooo sio poa

tynetrick

Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
37
Reaction score
4
Jamani ninachukia sana watu wasiokubali hali walizonazo i mean za kwao. Unaweza kukuta mtu kwao life ni hard but akiwa shule au chuoni full kujisifia mara kwetu kuna hiki, mama yangu ni hivi, sijui company ya mshua ipo hivi, tuna mabekitatu wanne.
Mbaya zaidi apate tatizo muende kwao hakuna cha geti, bekitatu, company ya mshua, wala vyote alivyokuaanajisifia. Hiyo haitoshi maskini unakuta mshua wake hata shule hajaenda mother ndo kabisaaa hata kusoma hajui na nyumba ni ya makuti.
Aisee hiyo sio poa inabidi tujikubali au siyo friends?
 
Jamani ninachukia sana watu wasiojikubal hali walizonazo i mean za kwao. Unaweza kukuta mtu kwao life ni hard but akiwa shule au chuon full kujisifia mara kwetu kuna hiki, mama yangu ni hivi, sijui company ya mshua ipo hivi, tuna mabekitatu wanne.
Mbaya zaidi apate tatizo muende kwao hakuna cha geti, bekitatu, company ya mshua, wala vyote alivyokuaanajisifia. Hiyo haitoshi maskini unakuta mshua wake hata shule hajaenda mother ndo kabisaaa hata kusoma hajui na nyumba ni ya makuti.
Aisee hiyo sio poa inabidi tujikubali au siyo friends?

Roger to that!
 
jamani hao unawazungumzia watoto wa primary au, hivi kweli matured person anaweza akajikweza kwa visivyokuwepo au ndio watu wazima hovyo.
 
jamani hao unawazungumzia watoto wa primary au, hivi kweli matured person anaweza akajikweza kwa visivyokuwepo au ndio watu wazima hovyo.

yaaan ninamifano halisi zaid ya 3 pple tena wanachuoo. pple za ivoo zpo nyingi as u say watu wazimaaaa ovyoo. wapo mzaz fuatilia af utanambia
 
yaaan ninamifano halisi zaid ya 3 pple tena wanachuoo. pple za ivoo zpo nyingi as u say watu wazimaaaa ovyoo. wapo mzaz fuatilia af utanambia

kweli kujitambua ni jambo la kushukuru Mungu, maana age is just a number
 
Ulimbukeni, kama ukitoka "Mbwinde" utakuwa na hizo tabia
 
Jamani ninachukia sana watu wasiokubali hali walizonazo i mean za kwao. Unaweza kukuta mtu kwao life ni hard but akiwa shule au chuoni full kujisifia mara kwetu kuna hiki, mama yangu ni hivi, sijui company ya mshua ipo hivi, tuna mabekitatu wanne.
Mbaya zaidi apate tatizo muende kwao hakuna cha geti, bekitatu, company ya mshua, wala vyote alivyokuaanajisifia. Hiyo haitoshi maskini unakuta mshua wake hata shule hajaenda mother ndo kabisaaa hata kusoma hajui na nyumba ni ya makuti.
Aisee hiyo sio poa inabidi tujikubali au siyo friends?

Kumbe na watoto mnaruhusiwa kujiunga na JF! Ok subiri wajukuu waje muendelee kubadilishana mawazo.
 
Hao ni watoto:::.::::::::

kwa hiyo wako kwenye stage
inafika kipindi mtu ana kubali hali yake!
 
jamani hao unawazungumzia watoto wa primary au, hivi kweli matured person anaweza akajikweza kwa visivyokuwepo au ndio watu wazima hovyo.

Tupo, ndio maana nimeitikia kuwa tutajirekebisha kwa niaba ya wenzangu!

Mambo? Weekend hii, tunaenda Paris au Sun City?
 
Si bora watoto. Ukikuta ndo mkaka anakutokea huku anasimulia kakangu ana gari (kumbe corrola. Ikiitwa taxi anamind), sijui hawara ya mamdogo ni mkubwa crdb. Utachokaje, na hata bill ya msosi hawezi kulipa!
 
Si bora watoto. Ukikuta ndo mkaka anakutokea huku anasimulia kakangu ana gari (kumbe corrola. Ikiitwa taxi anamind), sijui hawara ya mamdogo ni mkubwa crdb. Utachokaje, na hata bill ya msosi hawezi kulipa!

aswaaaaaaa! jitu zimaaa ndo inaishia ile ya oswaad na lomayan ndan ya ize pesa. na c wakaka tu ata mamanzi oh boyfriend wangu ni chief executive ccbrt mara ni director bandarini. upuuuz mtupu
 
Jamani ninachukia sana watu wasiokubali hali walizonazo i mean za kwao. Unaweza kukuta mtu kwao life ni hard but akiwa shule au chuoni full kujisifia mara kwetu kuna hiki, mama yangu ni hivi, sijui company ya mshua ipo hivi, tuna mabekitatu wanne.
Mbaya zaidi apate tatizo muende kwao hakuna cha geti, bekitatu, company ya mshua, wala vyote alivyokuaanajisifia. Hiyo haitoshi maskini unakuta mshua wake hata shule hajaenda mother ndo kabisaaa hata kusoma hajui na nyumba ni ya makuti.
Aisee hiyo sio poa inabidi tujikubali au siyo friends?

sina uhakika kama wapo, na kama wapo basi hawana budi kuacha hizo tabia........
Me binafsi ukiniona au ukinisikia huna haja ya kujiuliza utajua mi ni nani kwa sababu sijui kuigiza.
 
Jamani ninachukia sana watu wasiokubali hali walizonazo i mean za kwao. Unaweza kukuta mtu kwao life ni hard but akiwa shule au chuoni full kujisifia mara kwetu kuna hiki, mama yangu ni hivi, sijui company ya mshua ipo hivi, tuna mabekitatu wanne.
Mbaya zaidi apate tatizo muende kwao hakuna cha geti, bekitatu, company ya mshua, wala vyote alivyokuaanajisifia. Hiyo haitoshi maskini unakuta mshua wake hata shule hajaenda mother ndo kabisaaa hata kusoma hajui na nyumba ni ya makuti.
Aisee hiyo sio poa inabidi tujikubali au siyo friends?

Kwakufupi wabogo wengi hatujikubali na ndio maana wengi hatuishi maisha yetu,so ucpate streeeeess ndio tulivyo!.........usikoko kwa mbongo ndo mpango mzima!

mafisadi hawafisidi mabilioni wafanye ya maana bali tu waweze kuishi maisha ya Hollywood na familia zao ili watukoge .........kwa hiyo usiwaze sana,ndio maisha kibongobono:spit:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom